Dkt. Slaa nakukubali kama nawe unavyonikubali hapa JF, ila Hoja zako za leo hazina Ushawishi wa Kuaminika

Dkt. Slaa nakukubali kama nawe unavyonikubali hapa JF, ila Hoja zako za leo hazina Ushawishi wa Kuaminika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nakuomba tu Mzee wangu achana na hao Wanaokudanganya na Kukutumia ili Kumtikisa Rais Samia na Serikali yake kwani ukishayafanikisha Malengo yao Watakutupa hovyo kama zitupwavyo Condoms zilizokwisha tumika.

75% ya Hoja zako ulizozitoa Leo zinajichanganya mno Kimafikirio kiasi kwamba Mimi mwenye Bachelor Degree (Shahada yangu ya Kwanza) tu ya SAUT ya mwaka 2009 nashindwa Kuamini kuwa zimetoka kwa Mtu mwenye Doctorate (Shahada ya Uzamivu) kama Wewe.

Mheshimiwa Balozi najua sasa Umetangulizwa mbele ili ama mwaka huu au mapema mwakani mkizindua rasmi Chama chenu Kipya cha Kisiasa (chenye Makada Nguli Watatu wa CCM, Wawili wa CHADEMA) na Tajiri Mmoja mkubwa muweze Kutetemesha nchi na kuzua amsha amsha ya Kisiasa nchini.

Usisahau tu Kiapo kile ulichokula Ok?
 
Kwani tayari Zambarau "Mission completed"
 
Kinakuja Mkuu na Wakinilipa Tsh Milioni 25 tu kwa Mwezi nitakubali kuwa Spokesman na Chief Propagandist wao.

Sasa kikianza nataka niwaonyeshe hawa machawa wa CCM kuwa hawajui kitu.

Nitapiga domo la sera za kufa mtu.

MKUU KIKIANZA RASMI UKISHUSHA TAARIFA JF NAOMBA NITAG ILI NIANZE HARAKATI HAPA MTAANI,WILAYANI NA KANDA YA ZIWA YOTE
 
Hiyo porojo haiondoi ukweli kwamba SAUT ni takataka tu linakuja suala la vyuo vikuu, ila haishangazi ikiwa wahitimu wake ndo kina nyie….. takataka.
Kwahiyo na Padre Dk. Kitima former SAUT Vice Chancellor na aliyewafurahisheni Jana mnaopinga ujio wa Uwekezaji wa DP World Bandarini kwa Maelezo yake katika Clips zinazosambaa nae ni Takataka kama Mimi?
 
Sasa kikianza nataka niwaonyeshe hawa machawa wa CCM kuwa hawajui kitu.

Nitapiga domo la sera za kufa mtu.

MKUU KIKIANZA RASMI UKISHUSHA TAARIFA JF NAOMBA NITAG ILI NIANZE HARAKATI HAPA MTAANI,WILAYANI NA KANDA YA ZIWA YOTE
Usijali Mkuu.
 
Kwahiyo na Padre Dk. Kitima former SAUT Vice Chancellor na aliyewafurahisheni Jana mnaopinga ujio wa Uwekezaji wa DP World Bandarini kwa Maelezo yake katika Clips zinazosambaa nae ni Takataka kama Mimi?

Hapa hatujadili mtu binafsi, unaona sasa.!!
 
Hapa hatujadili mtu binafsi, unaona sasa.!!
Huyo Mtu Binafsi ndiyo Kanifundisha Mimi unayeniita Takataka na akiwa Vice Chancellor wa SAU Mwanza. Je, nae ni Takataka Mwenzangu wa SAUT Mwanza?
 
Huyo Mtu Binafsi ndiyo Kanifundisha Mimi unayeniita Takataka na akiwa Vice Chancellor wa SAU Mwanza. Je, nae ni Takataka Mwenzangu wa SAUT Mwanza?

Unaona sasa.!
Kwani yeye pia kasoma SAUT Malimbe?
 
Nakuomba tu Mzee wangu achana na hao Wanaokudanganya na Kukutumia ili Kumtikisa Rais Samia na Serikali yake kwani ukishayafanikisha Malengo yao Watakutupa hovyo kama zitupwavyo Condoms zilizokwisha tumika...
kiapo alikula kama balozi ,na ndani ya kiapo aliapa atailinda nchi na kuitetea , na ndicho anachokifanya Sasa . muarabu yupo hapa kwetu Leo kusaka tonge la watu wake na nchi yake, Dr. slaa pia yupo kutetea upolwaji wa Mali na watanzania
 
Siamini kama nchi ( Tanzania ) inaweza Kuuzwa huku akina DGIS Masorro na TISS yake na CDF General Mkunda na TPDF yake wakakubali au wakawa hawajui.

Watanzania acheni Kudanganywa.
we jamaa unaongea nini? Kwani hizo idara zina maamuzi gani juu ya anachoamua bosi wao mkuu, wao wanafuata amri tu, imetoka hiyo
 
Halafu acha kumnangananga dr. Slaa, acha amwage nyongo kwa niaba ya wengine wengi, kwani kiapo ndio nini ikiwa mambo yenyewe ndiyo hayo yamepitishwa? Hofu yako ni nini?
 
Back
Top Bottom