Takataka hili. lilijiunga na Jiwe kukandamiza demokrasia leo liko chadema kwa vile ni chadema mfu. chadema inayojitambua isingelimpokea.Wakuu,
Dkt Slaa akiwa anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyoandaliwa na BAWACHA amesema kuwa Rais Samia kama atataka anaweza kumrudisha tena gerezani maana amejifunza mambo mengi sana akiwa huko.
"Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki"
Takataka hili. lilijiunga na Jiwe kukandamiza demokrasia leo liko chadema kwa vile ni chadema mfu. chadema inayojitambua isingelimpokea.
slaa na washirika wake chademaUnamfokea nani?
Ameanza tena story zake huyu mzee. Sijui kwa nini anapenda hizi tabia za lugha zenye ukakasi hasa kwa mamlaka kuu ya nchi.Wakuu,
Dkt Slaa akiwa anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyoandaliwa na BAWACHA amesema kuwa Rais Samia kama atataka anaweza kumrudisha tena gerezani maana amejifunza mambo mengi sana akiwa huko.
"Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki"
Huo uharo ndio unaita madini?!Madini ya Dr.Slaa ni shubiri kwa watawala😁
Nadhani aligundua jamaa ni mpumbavuHivi yule Mama Josephine alikuwa wanafuatana sana siku hizi Yuko wapi? Maana hata Mahakamani hakuwahi kuonekana?
Huyu mzee slaa ni kama ameishajikatia tamaa ya kuendelea kuishi.Wakuu,
Dkt Slaa akiwa anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyoandaliwa na BAWACHA amesema kuwa Rais Samia kama atataka anaweza kumrudisha tena gerezani maana amejifunza mambo mengi sana akiwa huko.
"Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki"
Pole na swaumu.Huo uharo ndio unaita madini?!
Chadema inayojitambua ndiyo ile iliyomzungushia mikono tapeli lowasa?Takataka hili. lilijiunga na Jiwe kukandamiza demokrasia leo liko chadema kwa vile ni chadema mfu. chadema inayojitambua isingelimpokea.
Haki haupatikani kama zawadi, inapiganiwa, mawakili ni Sehemu ya mapigano ya kupigania haki kwa muktadha wa SheriaMandevu bhana, sasa mbona aliweka mawakili wapambane kumtoa kama alikuwa bado ana nia ya kujifunza huko gerezani. Takataka kabisa
Wampeleke tuWakuu,
Dkt Slaa akiwa anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyoandaliwa na BAWACHA amesema kuwa Rais Samia kama atataka anaweza kumrudisha tena gerezani maana amejifunza mambo mengi sana akiwa huko.
"Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki"
Shenzi hili.Wakuu,
Dkt Slaa akiwa anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyoandaliwa na BAWACHA amesema kuwa Rais Samia kama atataka anaweza kumrudisha tena gerezani maana amejifunza mambo mengi sana akiwa huko.
"Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki"
Kwa nini aliwaweka wampiganie wakati alikuwa na nia aendelee kujifunzaHaki haupatikani kama zawadi, inapiganiwa, mawakili ni Sehemu ya mapigano ya kupigania haki kwa muktadha wa Sheria
Hata mimi namshangaa kwa kweli😎Mandevu bhana, sasa mbona aliweka mawakili…