Pre GE2025 Dkt. Slaa: Namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza

Pre GE2025 Dkt. Slaa: Namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu afe, akishindwa, wamfunge tu tena.ile ile iliyomuweka awekwe tena, unaropoka, mara upole fckn shit.
 
Wakuu,

Dkt Slaa akiwa anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyoandaliwa na BAWACHA amesema kuwa Rais Samia kama atataka anaweza kumrudisha tena gerezani maana amejifunza mambo mengi sana akiwa huko.

"Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki"

Huyu Mzee naye anatuchosha tu! Kama ana nia na anapenda kurudi gerezani si aende kituo kikuu cha polisi saa saba mchana akanye mlangoni?!
 
Ama kweli sio kila mtu mzima ana hekima, huyu c alikuwa analialia afu sasa hv anajikosha 😂
 
Back
Top Bottom