Pre GE2025 Dkt. Slaa: Namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu afe, akishindwa, wamfunge tu tena.ile ile iliyomuweka awekwe tena, unaropoka, mara upole fckn shit.
 
Huyu Mzee naye anatuchosha tu! Kama ana nia na anapenda kurudi gerezani si aende kituo kikuu cha polisi saa saba mchana akanye mlangoni?!
 
Ama kweli sio kila mtu mzima ana hekima, huyu c alikuwa analialia afu sasa hv anajikosha 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…