Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Nafasi ya balozi haimo kwenye chama, balozi ni mtendaji wa Serikali na huteuliwa na Rais ambaye ni mtendaji wa serikali. Balozi anapokuwa kwenye nchi anayotuwakilisha hafanyi mambo ya siasa, isipokuwa balozi wa China ambao huwa wanakawaida ya kutotii sheria za nchi husika, kwahiyo ujue hakuenda kuiwakilisha CCM, alikwenda kuiwakilisha Tanzania.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Canada, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Canada, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
Hongera sana member. Mchango mkubwa sana huuUtachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!
Ninavyoelewa kuna movement inaendelea kukusanya nguvu ya kudai katiba na Dr Slaa ni moja ya silaha. Wataibuka wengi ambao hata si Chadema lakini kwa kazi hiyo tu. Kwenye katiba ni rahisi Dr Slaa kusimama na Chadema kuliko upande mwingine.
Kwenye katiba hata mimi nitasimama na Chadema na sina kadi ya chama chochote! Ni issue ya kupigania future ya Taifa langu sio uvyama wenu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Lakini anakula kiapo kwa Serikali ya chama kilichopo madarakani.Nafasi ya balozi haoimo kwenye chama, balozi ni mtendaji wa serikali na huteuliwa na rais ambaye ni mtendaji wa serikali. Balozi anapokuwa kwenye nchi anayotuwakilisha hafanyi mambo ya siasa, isipokuwa balozi wa China ambao huwa wanakawaida ya kutotii sheria za nchi husika, kwahiyo ujue hskuenda kuiwakilisha CCM, alikwenda kuiwakilisha Tanzania.
Dkt. Slaa si icon ya Katiba Mpya, na usijichanganye kwa hilo.Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!
Ninavyoelewa kuna movement inaendelea kukusanya nguvu ya kudai katiba na Dr Slaa ni moja ya silaha. Wataibuka wengi ambao hata si Chadema lakini kwa kazi hiyo tu. Kwenye katiba ni rahisi Dr Slaa kusimama na Chadema kuliko upande mwingine.
Kwenye katiba hata mimi nitasimama na Chadema na sina kadi ya chama chochote! Ni issue ya kupigania future ya Taifa langu sio uvyama wenu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Once Chadema always Chadema. Ile imani ya Chadema ni kama umelogwa vile.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
π π π
Lakini kama CHADEMA iliweza kumsamehe Lowassa makosa yake na kutaka kumfanya Rais, hata Dr. Slaa anasameheka. Alilamba asali, asali imeisha na wote tunafahamu madhara ya asali.
Binafsi na amini huyu hapo yuko kaziniView attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
Huu Mzee ni mnafiki sana. Aidha anaendeshwa na tamaa za uongozi au ana chuki rais Samia.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
hivi yule mwanamke wake alimkimbia?View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
Kinachowaumiza hawa wahuni mpaka leo ni kuikosa nguvu ya Dr Slaa mwaka 2015.Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!
Yuko kikazi zaidiView attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
Kwa hiyo anawachora CHADEMA!Yuko kikazi zaidi
Kambi kokote,View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
AnajichoreshaKwa hiyo anawachora CHADEMA!