Dkt. Slaa ulisahau nini huko CHADEMA?

Niambie balozi mmoja tu wa TZ ambaye si CCM
 
Once Chadema always Chadema. Ile imani ya Chadema ni kama umelogwa vile.

Hata akina Joshua Nasari na akina Waitara ni basi tu wale ni Chadema watupu
Kwa hiyo wote hawa walinunuliwa na hela ya Dr Bashiru Kakurwa?
 
Tupo wengi wa aina Yako tunaounganishwa na course ya KATIBA mpya.

CDM hawana sababu ya kupingana na SLAA Kwa sasa, sababu ana mchango mkubwa ktk move ya Katiba mpya.
 
Suala kubwa ninaloliona hapa si Dr. Slaa kupanda kwenye jukwaa la CHADEMA bali suala kubwa ni jee CHADEMA wamejifunza nini kutoka na matukio ya nyuma ya wanasiasa wanahamahama?

Ushauri wa bure kwa CHADEMA wawe makini sana kwa wanasiasa wanahamahama kama Dr. Suala. Wawe chini ya ungalizi kwa angalau miaka mitano kabla hawajakabidhiwa cheo chochcote hata kama ni ujumbe wa tawi.
 
Kwa hiyo anawachora CHADEMA!
No, KATIBA mpya ni move itokayo ktk Ule mhimili Magu aliouita umejichimbia chini zaidi.

Hawapendezwi na jinsi Nchi inavyoongozwa na familia zile zile miaka nenda Rudi.
 
Hakuna chama au Nchi inayoweza kuzuia mapandikizi,

Kinachofanyika ni kuwa makini na kuishi nao Kwa AKILI.

Kusimama ktk misingi.
 
Kwani kuna tatizo yeye kurudi CDM? ..... hebu vijana tupunguze upuuzi jama!!!
 
Ha hebu ujidhihirishe we ni CDM uone kama utapewa huo ubalozi. Ubalozi = Ukada!
 
Et alidai ndani ya CDM kulokuwa na watekaji,alikuwa rafiki wa Jiwe mkubwa,Mama kampiga chini na yeye kajiongeza anawaset CDM.Njaa mbaya sana.
Ngoja nione kama Lisu atasimama Jukwaa Moja na huyu Babu Mihogo.
 
Chadema mbona mnawachukua hadi Hawa mnaowaita wasaliti? Au huyu sio msaliti? Kokolo 🤪🤪
 
Mapambo ya kivita yanakiasi chake yakizidi imatafsiriwa ni uoga ndyo huyo mzee alipoona wenzake wapo katikati ya mapambano akasepa kwa uoga na tamaa hafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…