Dkt. Slaa yuko korokoroni kwa kumtetea Lissu, halafu Lissu anasema aliyemleta Lowassa na kuiua Chadema siyo Mbowe ni Dkt. Slaa. Lissu ni next Level

Dkt. Slaa yuko korokoroni kwa kumtetea Lissu, halafu Lissu anasema aliyemleta Lowassa na kuiua Chadema siyo Mbowe ni Dkt. Slaa. Lissu ni next Level

Kwa all intents and purposes New Palace Hotel ilijulikana kama ya wakina Mbowe. Kuwa walikuwa wapangaji ni semantics.

Amandla...
Ilijulikana na Nani?

Mbowe kabebwa sana na Edwin kwa sababu ya Bint yake Lilian tu

Otherwise ni dalali kama hao wengine wa hapo Samora 🐼
 
Ilijulikana na Nani?

Mbowe kabebwa sana na Edwin kwa sababu ya Bint yake Lilian tu

Otherwise ni dalali kama hao wengine wa hapo Samora 🐼
Na watu kama sisi. Mtei anahusika vipi na New Palace Hotel?

Dalali si mfanyabiashara? Kwa nini unawabeza?

Amandla...
 
Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu

Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili

1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk

Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM

Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu

Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu

Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄
Uzuri wa lissu ni ukweli sio blah blah, kwake uwazi na ukweli ndo silaha yake
 
Back
Top Bottom