Dkt. Slaa yupo Mlimani City akishiriki maadhimisho ya BAWACHA siku ya wanawake duniani

Dkt. Slaa yupo Mlimani City akishiriki maadhimisho ya BAWACHA siku ya wanawake duniani

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa naye yumo leo Mlimani City kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa na Baraza la Wanawake wa chama hicho katika ukumbi wa Mlimani City Dar Es Salaam
 
Kunyweni ntoriii manya ziko chiniii


The deal is almost close to completion 😔
 
Kigeugeu na mdini...mkitofautiana anahamia kwa mahasimu wenu hasa akiwa /liki
 
Mwacheni slaa na chadema yake, ndiko kunakompa platform ya kuzungumza akiwa huru hamuoni msigwa anavyoteseka huko alipo hana uhuru kabisa kwa maana sio utamaduni wao mtu kuongea kwa uhuru
 
Kigeugeu na mdini...mkitofautiana anahamia kwa mahasimu wenu hasa akiwa /liki
He is right. Huwezi kuwa na akili za kinyumbu kuwa kila kinachoamuliwa na kiongozi ukifuate hata kama unaona kinakupeleka shimoni.

Time has come to prove him right.
 
Back
Top Bottom