Dkt. Sulle: Mwinyi kuitwa "Mzee Ruksa" ilitokana na vurugu bucha la nguruwe Tandale 1993

Nimemsikiliza yule sheikh, ameongea ukweli hilo la rhuksa tu, lakini mengine mengi ni FIX kayabahatisha tu kwenye stories za vijiweni.Eti anadai hali ngumu wakati ule ililetwa na azimio la Arusha la 1967, wakati sio kweli . Hali ngumu ililetwa na vita vya Uganda na Mwalimu alipowatilia ngumu IMF. Pia ni kipindi hicho hicho Tanzania ilikua mstari wa mbele kwenye ukombozi wa nchi za kusini mwa Africa kwahio mabeberu yalihakikisha bongo inabanwa kiuchumi haswaa. Ukimsikiliza yule sheikh ni mtupu sana kichwani stories zake nyingi za vijiweni tu.
 
Ni kweli ali hutubia Zanzibar
 
Yule jamaa ni maamuma sana.. sasa hv kaja na stori za majini mwamba anaweza yaamrisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…