Dkt. Tulia Ackson alikuwa chaguo la Magufuli, hafai kuwa Spika wa Bunge litakalosimamia Serikali ya awamu ya 6

Dkt. Tulia Ackson alikuwa chaguo la Magufuli, hafai kuwa Spika wa Bunge litakalosimamia Serikali ya awamu ya 6

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Tunatoa sana ushauri humu JF na wakati mwingine tunaonekana kama wavurugaji waliotumwa na wapinzani au watu tusiokuwa na uzalendo na taifa letu, mwisho wa siku ushauri inapuuzwa na kumsikia mama analalamika kua wapo watu ndani ya serikali hawako naye na wengine hawaelewi.

Tulishauri kwamba Mama anapoanza awamu yake ya 6 aingie na damu mpya itakayomfanya na mifumo yake ya utawala. Mtangulizi wake alikua na mifumo yake na watu wake, watu wake si rahisi sana kwenda na mfumo wa Mama. Kwahiyo mabadiliko ilikua ni muhimu sana katika kila wizara na kila taasisi ili mambo yaweze kwenda sawa sawa.

Turudi kwenye bunge letu la sasa ambalo kimsingi ni sawa na la chama kimoja kutokana na wingi wa wabunge wa CCM. Kiti cha spika kwa sasa kipo wazi, nafasi hii inatakiwa kujazwa na mtu ambaye ni mpya kabisa ambaye hana chembe kabisa za utawala wa awamu ya 5. Dkt Tulia alikua ni Mteule wa JPM, naamini kabisa kwa zaidi ya 90% bado kichwa chake kipo kwa JPM, si rahisi kwenda na mifumo ya Mama. Baadaye anaweza kuja kuwa kikwazo katika bunge na serikali. Tunamjua Dkt Tulia hua ni mbishi, anajua kila kitu hasa sheria, sasa akipewa uspika wenye mamlaka na Kinga itakuwaje?

Chama cha mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake mpya wawe makini sana kwenye hii nafasi. Atafutwe mtu mpya mwenye sura ya utawala wa awamu ya 6. Awe mtu wa Makamo, mwenye busara na hekima,awe kama Baba/Mama, mlezi, asiwe kijana na anayejua sheria .

Kwangu mimi kwa hakika Mama Majina angechukua form,huyu Mama ameshakua Mwenyekiti wa bunge akiisimamia vizuri. Mzee Zungu ni mlezi na anajua pia kutoa ufafanuzi kwa kina ikiwa kuna tatizo. Mtu mwingine ambaye Kama angeshauriwa achukue form ya uspika wa bunge ni Mama Dr Asharose Migiro, naye busara zimemjaa sana. Mzee vijisenti naye yupo vizuri sana kwa shughuli za kuendesha bunge.

Chonde Chonde CCM msijidanganye mkaweka Spika kijana mtakuja kujuta, zikianza kelele hataheshimika na wala hatasikilizwa, ataishia kufukuza na kutisha tu kama Ndungai ambaye alilivuruga sana bunge. Naibu Spika abakie kua Dkt Tulia aendelee kujifunza ili akifikisha angalau miaka 50 busara zitakuwepo na atapewa nafasi.
 
Asha Rose Migiro si balozi wetu huko court of St. James? Au ameisharudi nyumbani?
 
Spika hapa ni Zungu. Tulia ana jazba na ujana mwingi hawezi kua respected, hawezi kusimama kama Mama.
 
Mtemi Chenge ana unafuu. Hakuna ubishi Chenge ni high IQ, na siyo mtu wa kuburuzwa, kama ilivyo kwa watu wengi wenye akili kubwa. Hata akiamua kukufanyia uovu huwa unafanyika kwa akili na kwa namna isiyoumiza sana.

Tulia ni low IQ. Ni wale wanaipata degree kwa kukariri. Ni mtu ambaye hajawahi kupata chochote kwa merit bali kwa kujipendekeza, kama alivyoanza kuropoka juzi mbele ya Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa Rais ni juu ya kika kitu, yupo juu ya Bunge, na Serikali hailazimiki kuuchukua ushauri wa Bunge.

Mtu ambaye anatakiwa kuogopwa sana kwenye nafasi ya uspika, kama tungekuwa na bunge, ni Tulia. Huyo ni hopeless kabisa. Wakikosea tu, watajuta. Na uzuri ni Bungeni ni syndicate ya majizi watupu, na watu wasio na maadili, wataumizana wenyewe. Majitu maovu kujiumiza yenyewe ni faraja kwa watu wema.
 
Tunatoa sana ushauri humu JF na wakati mwingine tunaonekana kama wavurugaji waliotumwa na wapinzani au watu tusiokuwa na uzalendo na taifa letu, mwisho wa siku ushauri inapuuzwa na kumsikia mama analalamika kua wapo watu ndani ya serikali hawako naye na wengine hawaelewi.

Tulishauri kwamba Mama anapoanza awamu yake ya 6 aingie na damu mpya itakayomfanya na mifumo yake ya utawala. Mtangulizi wake alikua na mifumo yake na watu wake, watu wake si rahisi sana kwenda na mfumo wa Mama. Kwahiyo mabadiliko ilikua ni muhimu sana katika kila wizara na kila taasisi ili mambo yaweze kwenda sawa sawa.

Turudi kwenye bunge letu la sasa ambalo kimsingi ni sawa na la chama kimoja kutokana na wingi wa wabunge wa CCM. Kiti cha spika kwa sasa kipo wazi, nafasi hii inatakiwa kujazwa na mtu ambaye ni mpya kabisa ambaye hana chembe kabisa za utawala wa awamu ya 5. Dkt Tulia alikua ni Mteule wa JPM, naamini kabisa kwa zaidi ya 90% bado kichwa chake kipo kwa JPM, si rahisi kwenda na mifumo ya Mama. Baadaye anaweza kuja kuwa kikwazo katika bunge na serikali. Tunamjua Dkt Tulia hua ni mbishi, anajua kila kitu hasa sheria, sasa akipewa uspika wenye mamlaka na Kinga itakuwaje?

Chama cha mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake mpya wawe makini sana kwenye hii nafasi. Atafutwe mtu mpya mwenye sura ya utawala wa awamu ya 6. Awe mtu wa Makamo, mwenye busara na hekima,awe kama Baba/Mama, mlezi, asiwe kijana na anayejua sheria . Kwangu mimi kwa hakika Mama Majina angechukua form,huyu Mama ameshakua Mwenyekiti wa bunge akiisimamia vizuri. Mzee Zungu ni mlezi na anajua pia kutoa ufafanuzi kwa kina ikiwa kuna tatizo. Mtu mwingine ambaye Kama angeshauriwa achukue form ya uspika wa bunge ni Mama Dr Asharose Migiro, naye busara zimemjaa sana. Mzee vijisenti naye yupo vizuri sana kwa shughuli za kuendesha bunge.

Chonde Chonde CCM msijidanganye mkaweka Spika kijana mtakuja kujuta, zikianza kelele hataheshimika na wala hatasikilizwa, ataishia kufukuza na kutisha tu kama Ndungai ambaye alilivuruga sana bunge. Naibu Spika abakie kua Dkt Tulia aendelee kujifunza ili akifikisha angalau miaka 50 busara zitakuwepo na atapewa nafasi.
Fundi Madilishi anasema Dr. Tulia alikuwa chaguo la Magufuli na hafai kuwa spika, tukia-assume logic ya Madilisha iko sawa, madam SSH alikuwa mteule wa JPM kama running mate, ushindi wa urais ulikuwa wa JPM kuwa rais na SSH kuwa VP, hivyo kufuatia kifo cha JPM, kikatiba VP anatakuwa kuapishwa na kuwa Rais wa nchi.

Mpango alikuwa mteule wa JPM kama kamishina mkuu wa TRA, mbunge na baadae waziri wa fedha, akagombea ubunge akawa aziriwa fedha tena. Baada ya msiba ilitulazimu tuwe na VP, basi Mpango nae awe haafai kwa logic za Madilisha.

Tanzania ni ya Watanzania wote. Dr. Tulia alikuwa Deputy AG wakati wa JK, ni Mtanzania, mifumo ya uteuzi kwenye chama wakiona anakidhi kuwa spika watampitisha.

Isifikie tukabaguana kisa kwa kuwa fulani alikuwa mteule wa fulani hafai. At some point ni lazima tuishi leo; kama kuna mtu au kundi la watu lina tofauti binafsi na JPM isiwe msingi wa kuwaharibia wengine.

Siko hapa kumpingia debe Tulia, ila yeye kuwa Mtanzania wasitokee wachache wakambagaza kwa kuwa tu aliteuliwa na JPM.

Tukifuata logic yako itabidi serikali yote iondoke ikiwamo wakuu wa vyombo vya dola kwa kuwa majority walikuwa wateule wa JPM.

Jana SSH kaongea kitu kizuri sana, Urais ni taasisi ambayo at some point lazima awepo wa kuiongoza, alianza JKN, AHM, BWM, JMK, JMP na leo tuna SSH na ipo siku atakuwa yule ambae zamu yake itafika.
 
Tunatoa sana ushauri humu JF na wakati mwingine tunaonekana kama wavurugaji waliotumwa na wapinzani au watu tusiokuwa na uzalendo na taifa letu, mwisho wa siku ushauri inapuuzwa na kumsikia mama analalamika kua wapo watu ndani ya serikali hawako naye na wengine hawaelewi.

Tulishauri kwamba Mama anapoanza awamu yake ya 6 aingie na damu mpya itakayomfanya na mifumo yake ya utawala. Mtangulizi wake alikua na mifumo yake na watu wake, watu wake si rahisi sana kwenda na mfumo wa Mama. Kwahiyo mabadiliko ilikua ni muhimu sana katika kila wizara na kila taasisi ili mambo yaweze kwenda sawa sawa.

Turudi kwenye bunge letu la sasa ambalo kimsingi ni sawa na la chama kimoja kutokana na wingi wa wabunge wa CCM. Kiti cha spika kwa sasa kipo wazi, nafasi hii inatakiwa kujazwa na mtu ambaye ni mpya kabisa ambaye hana chembe kabisa za utawala wa awamu ya 5. Dkt Tulia alikua ni Mteule wa JPM, naamini kabisa kwa zaidi ya 90% bado kichwa chake kipo kwa JPM, si rahisi kwenda na mifumo ya Mama. Baadaye anaweza kuja kuwa kikwazo katika bunge na serikali. Tunamjua Dkt Tulia hua ni mbishi, anajua kila kitu hasa sheria, sasa akipewa uspika wenye mamlaka na Kinga itakuwaje?

Chama cha mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake mpya wawe makini sana kwenye hii nafasi. Atafutwe mtu mpya mwenye sura ya utawala wa awamu ya 6. Awe mtu wa Makamo, mwenye busara na hekima,awe kama Baba/Mama, mlezi, asiwe kijana na anayejua sheria . Kwangu mimi kwa hakika Mama Majina angechukua form,huyu Mama ameshakua Mwenyekiti wa bunge akiisimamia vizuri. Mzee Zungu ni mlezi na anajua pia kutoa ufafanuzi kwa kina ikiwa kuna tatizo. Mtu mwingine ambaye Kama angeshauriwa achukue form ya uspika wa bunge ni Mama Dr Asharose Migiro, naye busara zimemjaa sana. Mzee vijisenti naye yupo vizuri sana kwa shughuli za kuendesha bunge.

Chonde Chonde CCM msijidanganye mkaweka Spika kijana mtakuja kujuta, zikianza kelele hataheshimika na wala hatasikilizwa, ataishia kufukuza na kutisha tu kama Ndungai ambaye alilivuruga sana bunge. Naibu Spika abakie kua Dkt Tulia aendelee kujifunza ili akifikisha angalau miaka 50 busara zitakuwepo na atapewa nafasi.
Udogo wa umri sio hoja bali uchanga kwenye nafasi hiyo.Dr Tulia ana miaka 6 bungeni kama Naibu Speaker hakuna hata mmoja mwenye sifa hiyo.
Pia hakuokotwa jalalani alikuwa mwalimu wa sheria katika chuo kikuu bora nchini,Mlimani.
Kama ni elimu ameelemika vya kutosha.
Magufuli alimteua kuwa mbunge kwa kuongeza ufanisi wa kazi za kibunge hasa katika kutunga sheria.
Sijasikia kashfa za kumyima ubunge sana sana she is athletic and energetic hakuna gharama za walipa kodi kumpeleka India kwa matibabu ya mabilioni kama mtangulizi wake.
 
Wote waliopo serikalini ni chaguo la magufuri sasa sijui kwa nini unatupa mawe tuu kwa tulilia atikisoni
 
Ushauri mzuri sana lakini uzi utapita tu hawafanyi kazi

Neno prof unalitia najisi. Major premise ni Tulia chaguo la JPM. Je kwa huo uprof wako hukuwa kutumia hata Common Sense kujua kwa Major hiyo Mama Mpendwa wetu SSH atakuwa kamweka wapi. Contradictions and contradictions and contradictions. Nawaonea huruma bado mnawaza marehemu. Rais wetu Sasa Ni mama SSH. Tumuheshimu.

Waandikaji wengi humu Familia zao tu zimewashinda kumanage ila Leo wanataka kumshauri Rais. Ushauri huwa na msaada kama una facts Zote na ziwe za kweli pamoja na kuangalia mazingira ya wakati. Poleni sana.
 
Tunatoa sana ushauri humu JF na wakati mwingine tunaonekana kama wavurugaji waliotumwa na wapinzani au watu tusiokuwa na uzalendo na taifa letu, mwisho wa siku ushauri inapuuzwa na kumsikia mama analalamika kua wapo watu ndani ya serikali hawako naye na wengine hawaelewi.

Tulishauri kwamba Mama anapoanza awamu yake ya 6 aingie na damu mpya itakayomfanya na mifumo yake ya utawala. Mtangulizi wake alikua na mifumo yake na watu wake, watu wake si rahisi sana kwenda na mfumo wa Mama. Kwahiyo mabadiliko ilikua ni muhimu sana katika kila wizara na kila taasisi ili mambo yaweze kwenda sawa sawa.

Turudi kwenye bunge letu la sasa ambalo kimsingi ni sawa na la chama kimoja kutokana na wingi wa wabunge wa CCM. Kiti cha spika kwa sasa kipo wazi, nafasi hii inatakiwa kujazwa na mtu ambaye ni mpya kabisa ambaye hana chembe kabisa za utawala wa awamu ya 5. Dkt Tulia alikua ni Mteule wa JPM, naamini kabisa kwa zaidi ya 90% bado kichwa chake kipo kwa JPM, si rahisi kwenda na mifumo ya Mama. Baadaye anaweza kuja kuwa kikwazo katika bunge na serikali. Tunamjua Dkt Tulia hua ni mbishi, anajua kila kitu hasa sheria, sasa akipewa uspika wenye mamlaka na Kinga itakuwaje?

Chama cha mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake mpya wawe makini sana kwenye hii nafasi. Atafutwe mtu mpya mwenye sura ya utawala wa awamu ya 6. Awe mtu wa Makamo, mwenye busara na hekima,awe kama Baba/Mama, mlezi, asiwe kijana na anayejua sheria .

Kwangu mimi kwa hakika Mama Majina angechukua form,huyu Mama ameshakua Mwenyekiti wa bunge akiisimamia vizuri. Mzee Zungu ni mlezi na anajua pia kutoa ufafanuzi kwa kina ikiwa kuna tatizo. Mtu mwingine ambaye Kama angeshauriwa achukue form ya uspika wa bunge ni Mama Dr Asharose Migiro, naye busara zimemjaa sana. Mzee vijisenti naye yupo vizuri sana kwa shughuli za kuendesha bunge.

Chonde Chonde CCM msijidanganye mkaweka Spika kijana mtakuja kujuta, zikianza kelele hataheshimika na wala hatasikilizwa, ataishia kufukuza na kutisha tu kama Ndungai ambaye alilivuruga sana bunge. Naibu Spika abakie kua Dkt Tulia aendelee kujifunza ili akifikisha angalau miaka 50 busara zitakuwepo na atapewa nafasi.

Samia Rais wa Jamhuri ya Tanzania nae alikuwa ni mteule wa Magufuli....kama tutaenda kwa mtindo huu basi hakuna serikali itaundwa ikose mtu wa Magufuli....haiwezekani!

Nafikiri chamsingi ni uwezo!
 
Back
Top Bottom