Dkt. Tulia Ackson awataka Mawaziri waliopumzishwa kwenye nafasi zao waondoe wasiwasi

Brains [emoji1666]
 
Daaah
 
Kabibi jini katika ubora wake
 
Yeah. Kuwekwa pembeni kunaleta disturbance kubwa sana hasa katika quality of life ya mhusika. Hivyo napendekeza endapo waziri atatenguliwa basi
1. Apewe gari linalofanana kwa muonekano na gari analotumia akiwa waziri as long as gari hilo limeshatumika serikalini kwa muda usiopungua miaka mitatu.
2. Aruhusiwe kuendelea kusalia kwenye nyumba ya serikali hadi duru ya uchaguzi mkuu ulioko mbeleni utakapofika akipenda kuendelea kukaa kwenye nyumba hiyo.
Hii iwe kwa mawaziri, manaibu na maspika na manaibu wao... pamoja na wakuu wa mikoa kwa upande wa usafiri.
 
maskini madam

maskini madam speaker alizungumza kwa nia njema kabisa akihisi anapoza kumbe maneno yake YANABORONGA.Ukisikiliza faraja/maelezo yake kwa hao mawaziri ni kana kwamba anafananisha uongozi wa nchi(unaodili na maisha ya watu na ustawi wao) na timu ya mpira(michezo)!!!Haya ndio matokeo ya kuwa na viongozi wa favouritism!!!
 
Akumbukwe Chris Katembo kwa kazi zake zilizotukuka. Sijui tungechorewa wakati huu!
====
MAdam Speaker azungimzie utendaji wa Bunge lake katika kuishauri, Serikali.

Swali la uelewa, hivi Rais akivunja Bunge kwa sababu za Dharura, kama ambavyo Madam aliwaambia wabunge kuwa Azimio lisipopitishwa Madam Rais Dr. Samia atavunja bunge, je wabunge wanalipwa kiinua mgongo?
 
Ni kama na yeye anajiandaa kukaa pembeni
 
Ni vigumu sana kuamini kwamba huyu ni msomi mara nyingi anajihami sana hana vitu vya maana anavyoongelea. Kocha anapokutoa maana yake umepwaya hufai.
Kwa mfano mtu kafunga goli 3, afu anatolewa , kapwaya kweli? Kwahiyo na kuchoka kupo.
 
Duh poa vipi nape nanuye bado yuko pale pale au ndumbaro ndio kam replace
Angelina Mabula (alikuwa waziri wa ardhi), Mwakibete (alikuwa naibu waziri), na mwingine amenitoka kidogo.
 
Duh poa vipi nape nanuye bado yuko pale pale au ndumbaro ndio kam replace
Nape bado yupo pale pale. Ndumbaro kachukua nafasi ya Pindi Chana aliyehamishiwa wizara ya Katiba
 
Kwa mfano mtu kafunga goli 3, afu anatolewa , kapwaya kweli? Kwahiyo na kuchoka kupo.
Yale Yale ya Gadiola anamtoa Haaland asifunge mabao sita kwenye mechi moja ya Champions League eti ataridhika mapema. Kama si wivu wa Gardiola kwa mafanikio yankijana mdogo Halaand ni ni?

Najua mambo ya mpira siyo copy na paste kwenye Siasa hasa hizi za kiswahili!
 
Umenikumbusha mwishoni mwa miaka ya 70 ambapo mzee wangu "ametumbuliwa" ukurugenzi wa taasisi fulani, shuleni na mtaani pale Uzunguni - Dom wakaanza kutucheka, bahati nzuri mzee alikuwa ameshajenga mitaa hiyo hiyo ya Uzunguni na gari aliyokuwa anatembelea akauziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…