misimajumbasita
Senior Member
- Jun 10, 2018
- 157
- 273
Naibu Spika ataachaje kuyafanya hayo. Nafasi aliyokua nayo pamoja na Ubunge wake visingewezekana bila mbeleko ya mwendazake. Kwa hakika lazima amkumbuke
Mchemba na Mollel walioapishiwa Chato wamemsahau kabisa ngosha!
Moto wa milele umuunguze dhalimu mwendazake.
Mchemba na Mollel walioapishiwa Chato wamemsahau kabisa ngosha!
Wapo wengine aliwawezesha lakini wamemsahau tayari wapo kinyume chake
Wamekua vinyonga
Ni takribani miezi kadhaa sasa toka jemedari wetu wa vita hayati JPM atutoke.17-03-2021 ni sikua ambayo mpendwa wetu chuma alitutoka
Navutiwa nakupendezewa sana na Naibu wa spika akiwa anatumia ukurasa wake wa instagram kila inapo fika tarehe 17 basi hutumia ukurasa wake huo kumkumbuka hayati JPM.
Pongezi sana kwako naibu spika nafikiri huko aliko JPM anafurahi namna viongozi na wananchi wake wanavyo mkumbuka jinsi alivyotupigania alivyojitoa sadaka kwa watu masikini.
Tunamuombea kwa Mungu azidi kumpumzisha salama John Pombe Magufuli.
Mapemaaa…..? Alichelewa! Hakustahili, na alitabiriwa asingetoboa mwaka huu!Shujaa aliondoka mapema sana
Mapemaaa…..alichelewa? Hakustahili, na alitabiriwa asingetoboa mwaka huu!