nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Kila mtanzania mwenye akili timamu anamlilia Magu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Nyege tu zinamsumbua
Kwani magu anakufa kila tarehe 17? Au sijaelewa.Ni takribani miezi kadhaa sasa toka jemedari wetu wa vita Hayati Magufuli atutoke.17-03-2021 ni sikua ambayo mpendwa wetu chuma alitutoka
Navutiwa nakupendezewa sana na Naibu wa spika akiwa anatumia ukurasa wake wa instagram kila inapo fika tarehe 17 basi hutumia ukurasa wake huo kumkumbuka Hayati Magufuli.
Pongezi sana kwako Naibu Spika nafikiri huko aliko Hayati Magufuli anafurahi namna viongozi na wananchi wake wanavyomkumbuka jinsi alivyotupigania alivyojitoa sadaka kwa watu masikini.
Tunamuombea kwa Mungu azidi kumpumzisha salama John Pombe Magufuli.
Duh! Jamani mna masihara!!!!!Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
View attachment 1895295
😂😂! Kumbe wewe ni member mpya?!Huu ni upimbi sana hivi ww ukongwe wako hapa umekusaidia nin unaka jf wasiendelee kupokea members wapya na pia members wapya wasiwe wachangiaji
Ataache kumlilia mtu aliyemwagia makinikia ya dhahabu kwa ndani?Naibu Spika ataachaje kuyafanya hayo. Nafasi aliyokua nayo pamoja na Ubunge wake visingewezekana bila mbeleko ya mwendazake. Kwa hakika lazima amkumbuke
Ndo hoja uliobakia nayo ukiachana na katiba mpya na free free sio gaidi
Una posts 67 ndani ya miaka 4.
View attachment 1895374
20 katika hizo ni kwenye uzi huu ulio na masaa 2.
Ni mjumbe mpya au jina jipya?
Waambieni wanaowatuma we are not that dumb!
Sio gaidi