Dkt. Tulia Ackson kumlilia Hayati Magufuli kila ifikapo tarehe 17

Kwani magu anakufa kila tarehe 17? Au sijaelewa.
 
Huu ni upimbi sana hivi ww ukongwe wako hapa umekusaidia nin unaka jf wasiendelee kupokea members wapya na pia members wapya wasiwe wachangiaji
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚! Kumbe wewe ni member mpya?!



Hiiiiii bagosha!
 
Naibu Spika ataachaje kuyafanya hayo. Nafasi aliyokua nayo pamoja na Ubunge wake visingewezekana bila mbeleko ya mwendazake. Kwa hakika lazima amkumbuke
Ataache kumlilia mtu aliyemwagia makinikia ya dhahabu kwa ndani?
 
Ndo hoja uliobakia nayo ukiachana na katiba mpya na free free sio gaidi

Una posts 67 ndani ya miaka 4.



20 katika hizo ni kwenye uzi huu ulio na masaa 2.

Ni mjumbe mpya au jina jipya?

Waambieni wanaowatuma we are not that dumb!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ