Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

Kweli kabisa, ndiyo maana mdau nilimjibu asije dhani sisi chawa tumechapika. Sisi ni chawa wenye vipato, naweza lipa mishahara ya taasisi kadhaa za serikali. Kinachotusukuma ni uzalendo
 
Kweli kabisa, ndiyo maana mdau nilimjibu asije dhani sisi chawa tumechapika. Sisi ni chawa wenye vipato, naweza lipa mishahara ya taasisi kadhaa za serikali. Kinachotusukuma ni uzalendo
Sawa mkuu nimekuelewa vyema
 
Weka picha.
 
Huyu unae muita ncha mungu Ni mshirikina wa kiwango Cha juu Sana Ni Dr tulia huyu huyu ndie alilibeba jeneza feki na kufanya ibada ya mazishi hewa kuizika chadema leo unasema Ni ncha mungu ....Lin pia sishangai kuona hvyo kwa vile wanambea wengi Ni wacha mungu lkn vile vile Ni washirikina wazuri snaa
 

Serikali Sikivu Inapoimoa Tanzania Kwa Gharama Tele Tele

 
Mbona hakuna ulipoweka ushahidi wa hayo uzungumzayo zaidi ya porojo tu?
 
Huwa Unaishi maisha ya kutafuta habari tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…