Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kujipendekeza toka lini ikawa hoja?!Hoja zikikuzidi kimo cha akili yako ni bora ukatulia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujipendekeza toka lini ikawa hoja?!Hoja zikikuzidi kimo cha akili yako ni bora ukatulia tu
Mimi sitafuti kukumbukwa.kazi yangu ni kuwapeni ukweli na kuwahabarisheni tu juu ya mambo mbalimbali yanayojiri nchini mwetu.
Kwani nani kakwambia kuwa naandika hapa kwa ajili ya kutafuta maslahi?Uzuri mmepewa kazi hiyo, walikuwepo wengi sana nao wameenda. Kutaja wachache ni kama ifuatavyo
jingalao
Lizaboni
Kipara kipya
Mgonjwa mtambuka
Leslie
N.k
Hata wewe utapotea siku maslahi yakibadilika.
Huna akili wewe utakuwa wa kupigwa miti tu kwani kwa mabandiko yako haya ya kichawa kamwe hutateuliwa. Bwege weweKwa hiyo wewe kwa mibangi yako unaona kwamba mimatusi yako unayoporomosha humu jukwaani muda wote ndio yana maudhui? Kweli mibangi imekuharibu sana akili na kukupa upofu wa akili na macho. Wewe endelea tu na matibabu yako ya magonjwa ya akili [emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe ni Toilet Paper wa CCM [emoji58]Mimi sitafuti kukumbukwa.kazi yangu ni kuwapeni ukweli na kuwahabarisheni tu juu ya mambo mbalimbali yanayojiri nchini mwetu.
Nashukuru mkuuWewe ni Toilet Paper wa CCM [emoji58]
Kwani nani kakwambia kuwa naandika hapa kwa ajili ya kutafuta maslahi?
Comrade hapo Dkt Tulia upepo wake kwa Mbeya hata kitaifa ni mbaya sana. Sasa mwokozi wetu ni CCM ya Dkt Samia chini ya Makonda. Akina Dkt Tulia walijichanganya. Wanahitaji nguvu kazi. Kazi ya Makonda sasa ni nzuri sana.Ndugu zangu watanzania,
Haijapata kutokea ,haijapata kuonekana kwa mapokezi makubwa aliyoyapata mh Dkt Tulia Acksoni Mwansasu mbunge wa Mbeya mjini,speaker wa Bunge na Rais wa umoja wa mabunge Duniani ni mapokezi ya kishindo,ni mapokezi ya karne,ni mapokezi ya kihistoria ni mapokezi yaliyovunja rekodi,ni mapokezi yaliyoitetemesha na kulisimamisha Jiji la mbeya.watu wamehudhuria haijapata kutokea,mafuriko ya watu wamemiminika haijapata kuonekana.
Kwa hakika Dr Tulia ni mpango wa Mungu mwenyewe,anapendwa na kuheshimika na wanambeya ni haijapata kutokea ,anakubalika na kuungwa mkono ni haijapata kushuhudiwa ,itachukuwa miaka mingi sana kwa kiongozi yeyote yule kupata mapokezi aliyoyapata leo hii Dr Tulia.mtoto wa Mbeya kapokelewa kishujaa Mithili ya wanajeshi waliotoka vitani na kurejea na ushindi wa kukomboa ardhi ya nchi na Taifa lao iliyokuwa imeporwa.
Kapokelewa na watu wa rika zote na makundi yote kuanzia viongozi wa dini, serikali,mila,vijana,akina mama,wazee n.k.kishindo chake kimeteka jiji la Mbeya, kwa hakika ujio wake tokea angani aliko kuwa akiingia na ndege ya jeshi kumefanya jiji lote kulipuka kwa shangwe, nderemo na vifijo ambayo haijawahi kutokea.
Rai yangu kwa upinzani na mtu yeyote yule asithubutu kuchukua Fomu ya ubunge kugombea ubunge jimbo la Mbeya mjini maana kwa hali iliyopo kwa sasa na kwa namna Dkt. Tulia anavyopendwa na kukubalika kwa hakika itakuwa ni kupoteza muda na fedha kushindana na Rais wa IPU Dkt. Tulia Acksoni mwansasu katika sanduku la kura.
Dr Tulia siyo mtu wa kawaida ,ana nguvu fulani ndani yake isiyo ya kawaida na ya ajabu sana yenye kuonyesha uwepo wa Mungu ndani yake hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa Dr Tulia ni mcha Mungu mkubwa na mwenye kumtegemea na kumtumainia Mungu kwa kila jambo.upepo wa Dr Tulia ni mkali na wenye mvumo wa kipekee sana,ni mtu mwenye ushawishi wa hali ya juu sana. Kwa hakika kaiteka mioyo ya wana Mbeya na kutembea mioyoni mwao.
Ni faraja kwa wana Mbeya ni fahari kwa wana nyanda za juu kusini na ni Nembo kwa wana mbeya. ameuheshimisha mkoa ,amelipa hadhi jiji,amewafanya wana Mbeya watembee kifua mbele na kwa kujiamini .na kila mtu anaona anastahili kuringa na kujivunia Dr Tulia kwa kuwa ni Mbeya ndio iliyompeleka Bungeni Dr Tulia na ni Mbeya ndio iliyotoa Rais wa umoja wa mabunge Duniani kati ya nchi zaidi ya 180 wanachama wa IPU Duniani kwote.
ndio maana wana Mbeya wamefanya mapokezi ya kishindo na ya heshima kubwa sana kumpatia mtoto wao na dada yao na mbunge wao Dkt Tulia Acksoni mwansasu kwa ushindi na heshima ya kipekee aliyolipatia jiji la Mbeya.kila mmoja anajiona kuwa kupitia kura yake ya ndio kwa Dkt Tulia Taifa limepata heshima ya kutoa Rais wa IPU na mwanamke wa kwanza kutoka Barani Afrika kushinda na kushika urais wa IPU.
Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Alichaguliwa na maken.de yako labdaUtatuzi wa Kero na changamoto jijini Mbeya umekuwa ni utaratibu wa kila siku tangia Dr Tulia alipochaguliwa kuwa mbunge wa Mbeya mjini.ndio Maana wana Mbeya wanaendelea kumuunga mkono mh Dkt Tulia kila siku na kumpa ushirikiano wa kutosha.
Piga picha huko chini na iweke hapa hadharani kama tuone kama unapumb.Mimi siyo mama .mimi ni kaka yako .
Wewe huwa ni tairaAlichaguliwa na maken.de yako labda
Mzee Mwasambwanda angekojolea njee tuu....wewe ni mbegu mbaya sana.Wewe huwa ni taira
Uongo mtupu, hata barabara ya vumbi njia 4 hauwezi pata kwa miaka hii labda 2065Wana Mbeya kwa umoja wao wamemkabidhi Dr Tulia jiji lao Katika uchaguzi ujao .maana ndani ya muda mfupi wa uongozi wake amefanikiwa kuleta maendeleo makubwa sana katika jiji la Mbeya tofauti na yule mbabaishaji aliyekuwepo awali ambaye alikuwa hajitambui wala kutambua majukumu yake mpaka wana Mbeya walipo amua kumfurusha kama Kibaka .sasa jiji la Mbeya chini ya ubunge wa Dr Tulia na kusikizwa kwake na serikali yake, Mbeya inakwenda kutandikwa barabara ya lami ya njia nne km 237.9 kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma mkoani Songwe.
Basi kaa kama Thomas ili ushuhudie kinachokwenda kufanyika na uende kuwasimulia ndugu zako.Uongo mtupu, hata barabara ya vumbi njia 4 hauwezi pata kwa miaka hii labda 2065
Wewe ni Taira na kichaaMzee Mwasambwanda angekojolea njee tuu....wewe ni mbegu mbaya sana.
Uaskari wa mtu haupo katika mavazi bali katika mafunzo na utaalamu au ujuzi .kama huna mafunzo na hujahitimu mafunzo ya kijeshi huwezi ukawa mwanajeshi hata kama utavalishwa kombati za jeshi.Eeeh kumbe masoja ndio wanavaaga vile au sare mpya zile ?
Tupia picha basi akishuka na hiyo chopa ya Jeshi.Ndugu zangu watanzania,
Haijapata kutokea ,haijapata kuonekana kwa mapokezi makubwa aliyoyapata mh Dkt Tulia Acksoni Mwansasu mbunge wa Mbeya mjini,speaker wa Bunge na Rais wa umoja wa mabunge Duniani ni mapokezi ya kishindo,ni mapokezi ya karne,ni mapokezi ya kihistoria ni mapokezi yaliyovunja rekodi,ni mapokezi yaliyoitetemesha na kulisimamisha Jiji la mbeya.watu wamehudhuria haijapata kutokea,mafuriko ya watu wamemiminika haijapata kuonekana.
Kwa hakika Dr Tulia ni mpango wa Mungu mwenyewe,anapendwa na kuheshimika na wanambeya ni haijapata kutokea ,anakubalika na kuungwa mkono ni haijapata kushuhudiwa ,itachukuwa miaka mingi sana kwa kiongozi yeyote yule kupata mapokezi aliyoyapata leo hii Dr Tulia.mtoto wa Mbeya kapokelewa kishujaa Mithili ya wanajeshi waliotoka vitani na kurejea na ushindi wa kukomboa ardhi ya nchi na Taifa lao iliyokuwa imeporwa.
Kapokelewa na watu wa rika zote na makundi yote kuanzia viongozi wa dini, serikali,mila,vijana,akina mama,wazee n.k.kishindo chake kimeteka jiji la Mbeya, kwa hakika ujio wake tokea angani aliko kuwa akiingia na ndege ya jeshi kumefanya jiji lote kulipuka kwa shangwe, nderemo na vifijo ambayo haijawahi kutokea.
Rai yangu kwa upinzani na mtu yeyote yule asithubutu kuchukua Fomu ya ubunge kugombea ubunge jimbo la Mbeya mjini maana kwa hali iliyopo kwa sasa na kwa namna Dkt. Tulia anavyopendwa na kukubalika kwa hakika itakuwa ni kupoteza muda na fedha kushindana na Rais wa IPU Dkt. Tulia Acksoni mwansasu katika sanduku la kura.
Dr Tulia siyo mtu wa kawaida ,ana nguvu fulani ndani yake isiyo ya kawaida na ya ajabu sana yenye kuonyesha uwepo wa Mungu ndani yake hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa Dr Tulia ni mcha Mungu mkubwa na mwenye kumtegemea na kumtumainia Mungu kwa kila jambo.upepo wa Dr Tulia ni mkali na wenye mvumo wa kipekee sana,ni mtu mwenye ushawishi wa hali ya juu sana. Kwa hakika kaiteka mioyo ya wana Mbeya na kutembea mioyoni mwao.
Ni faraja kwa wana Mbeya ni fahari kwa wana nyanda za juu kusini na ni Nembo kwa wana mbeya. ameuheshimisha mkoa ,amelipa hadhi jiji,amewafanya wana Mbeya watembee kifua mbele na kwa kujiamini .na kila mtu anaona anastahili kuringa na kujivunia Dr Tulia kwa kuwa ni Mbeya ndio iliyompeleka Bungeni Dr Tulia na ni Mbeya ndio iliyotoa Rais wa umoja wa mabunge Duniani kati ya nchi zaidi ya 180 wanachama wa IPU Duniani kwote.
ndio maana wana Mbeya wamefanya mapokezi ya kishindo na ya heshima kubwa sana kumpatia mtoto wao na dada yao na mbunge wao Dkt Tulia Acksoni mwansasu kwa ushindi na heshima ya kipekee aliyolipatia jiji la Mbeya.kila mmoja anajiona kuwa kupitia kura yake ya ndio kwa Dkt Tulia Taifa limepata heshima ya kutoa Rais wa IPU na mwanamke wa kwanza kutoka Barani Afrika kushinda na kushika urais wa IPU.
Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Dr Tulia hana mpinzani jimboni mbeya.hakuna mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kushindana na Dr Tulia katika sanduku la kura .Dr tulia anakubalika,kuungwa mkono na kupendwa na wana Mbeya ni haijapata kutokea .yeyote atakayechukua Fomu kushindana naye atapata na kuvuna aibu ya karne.maana Dr Tulia ndio chaguo la wana MbeyaComrade hapo Dkt Tulia upepo wake kwa Mbeya hata kitaifa ni mbaya sana. Sasa mwokozi wetu ni CCM ya Dkt Samia chini ya Makonda. Akina Dkt Tulia walijichanganya. Wanahitaji nguvu kazi. Kazi ya Makonda sasa ni nzuri sana.