Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

Hapana lucas nimecheki hiyo video, mbona watu sio wengi kama unavyo exaggerate hapa. By the way wengi wamekuja kuishangaa hiyo Airbus A225 LP , kitu ambacho hata mimi ningeenda kuiona.
Itizame video yote ambayo ni ya kama dk 7-9 angalia kuanzia ndege inapotua mpaka anapokwenda kupanda jukwaa kuu mahali alipoandaliwa kukaa, uone namna watu walivyomiminika mpaka kukosekana nafasi ya sisiminzi kuweza kupenyeza mwili wake. Ni mapokezi ya kihistoria na yaliyoacha kumbukumbu isiyo futika.
 
Hawa watu wa kimataifa wamchukuwe kabisa aondoke kwenye bunge leo tupate spika anaye elewa umuhimu wa katiba mpya
 
Kwenye Nchi Ya Vipofu, Chongo Akiongoza Ana Nafuu
By Julius K Nyerere
 
Hivi huu muda wa kuandika huu upuuzi ungeutumia kutafuta ngawira ungekuwa mbali sana kimaisha.Unafukuzia teuzi lakini wanakuona wewe ni mpumbavu tu.
Kwani nani kakwambia kuwa sifanyi kazi ndugu yangu. Kwani ningepata wapi pesa ya vocha bila kufanya kazi?.au kuna duka umesikia linagawa vocha bure?
 
Hawa watu wa kimataifa wamchukuwe kabisa aondoke kwenye bunge leo tupate spika anaye elewa umuhimu wa katiba mpya
Dr Tulia amekuwa msaada mkubwa sana ndani ya bunge letu katika masuala yote yahusuyo sheria.ni mtetezi wa wanyonge ndani ya bunge na nje ya bunge.ndio maana anatetea kila mtu mwenye kuonewa bila kujali ni wa jimbo gani.nafikiri unakumbuka hapa majuzi alivyowatetea walimu wa kule Tunduma mkoani Songwe waliokuwa wamevuliwa vyeo vyao vya ualimu mkuu
 
Walimiminika kushangaa ndege ya kijeshi, km kipindi kile Cha my Lowasa kushangaa helicopta[emoji3][emoji3]
Embu nenda na ndege yako na wewe uone kama watakuja kukushangaa. Mbeya na wanambeya wanaanza kuziona ndege tangia wakiwa watoto wadogo maana pale palikuwa na uwanja wa ndege na sasa upo Songwe wa kimataifa ambapo siyo mbali kutoka Mbeya mjini,.sasa nani aanze kushangaa ndege wakati wanaziona kila siku? Wanambeya kwa maelfu yao walimiminika kumpokea Dr Tulia kutokana na upendo mkubwa walio nao kwake. Hii inatokana na kazi kubwa aliyofanya jimboni kwake iliyogusa mioyo ya wengi.
 
hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumchagua Tulia na roho yake mbaya kama sura yake
Sikiliza wewe shetani na mvuta bangi uliye kubuhu kama mwenziyo SAGAI GALGANO. Ni kuwa Dr Tulia hana wa kumtikisa wala kumpa upinzani wala kumtetelesha katika kushinda ubunge wa jimbo la Mbeya mjini .Dr Tulia ndio chaguo la wanambeya. ndio maana unaona waliojaribu kuitisha maandamano mkoani Mbeya wamevuna aibu ya mwaka na kuishia kujificha vichakani kama panya
 
Hahahah...hizo njia nne ziko wapi hapo mjini?

Barabara ya TanZam ipo hivyo hivyo miaka yote, hapo Mbalizi ni kama mwezi tu umepita tumetoka kuzika ndugu zetu baada ya lori kuparamia mzunguko sababu ya ufinyu wa lami...

Barabara za lami za mitaani alizoziacha Mbilinyi bado ni zile zile na sasa hivi zimeanza kuweka mashimo hakuna wa kukarabati...

We si chawa wa Tulia, hebu mwambie arekebishe lami ya Ilomba kwemda Isyesye ina mahandaki sasa...
Barabara za njia nne zinakwenda kuanza kujengwa muda siyo mrefu maana kila kitu kipo tayari na fedha zipo tayari.kaaa mkao wa kula uchangamkie fursa za kupata ajira au kufanya biashara ujenzi utakapo anza . barabara za mitaa nazo zinakwenda kutandazwa kama mkeka kuzunguka jiji lote.
 
Sikiliza wewe shetani na mvuta bangi uliye kubuhu kama mwenziyo SAGAI GALGANO. Ni kuwa Dr Tulia hana wa kumtikisa wala kumpa upinzani wala kumtetelesha katika kushinda ubunge wa jimbo la Mbeya mjini .Dr Tulia ndio chaguo la wanambeya. ndio maana unaona waliojaribu kuitisha maandamano mkoani Mbeya wamevuna aibu ya mwaka na kuishia kujificha vichakani kama panya
Huyo hachaguliki labda kwa mtutu wa bunduki kama enzi zile za utawala wa giza. Unanitajataja sana hebu weka picha yako kama unafaa kwa matumizi ya usiku nikutumie nauli,maana ni thawab kuwafariji mama wajane kama wewe.
 
Huyo hachaguliki labda kwa mtutu wa bunduki kama enzi zile za utawala wa giza. Unanitajataja sana hebu weka picha yako kama unafaa kwa matumizi ya usiku nikutumie nauli,maana ni thawab kuwafariji mama wajane kama wewe.
Ukiwa umevuta mibangi yako na kulewa gongo zako ulisema kuwa hawezi kushinda urais wa IPU. Lakini ukiwa na macho yako uliona alivyoshinda kwa kishindoo kilichoitetemesha Dunia nzima ,na matokeo yake ukakimbia na kuhamisha magoli.kwa hiyo hata haya unauoyazungumza hapa hata wewe unafahamu kuwa Dr Tulia ndio chaguo la wana Mbeya na ndiye anayekwenda kuzoa kura zote jijini Mbeya. Wewe andaa tu mibangi yako ili ukawage unavuta kupunguza maumivu.
 
Ndugu zangu watanzania,

Haijapata kutokea ,haijapata kuonekana kwa mapokezi makubwa aliyoyapata mh Dkt Tulia Acksoni Mwansasu mbunge wa Mbeya mjini,speaker wa Bunge na Rais wa umoja wa mabunge Duniani ni mapokezi ya kishindo,ni mapokezi ya karne,ni mapokezi ya kihistoria ni mapokezi yaliyovunja rekodi,ni mapokezi yaliyoitetemesha na kulisimamisha Jiji la mbeya.watu wamehudhuria haijapata kutokea,mafuriko ya watu wamemiminika haijapata kuonekana.

Kwa hakika Dr Tulia ni mpango wa Mungu mwenyewe,anapendwa na kuheshimika na wanambeya ni haijapata kutokea ,anakubalika na kuungwa mkono ni haijapata kushuhudiwa ,itachukuwa miaka mingi sana kwa kiongozi yeyote yule kupata mapokezi aliyoyapata leo hii Dr Tulia.mtoto wa Mbeya kapokelewa kishujaa Mithili ya wanajeshi waliotoka vitani na kurejea na ushindi wa kukomboa ardhi ya nchi na Taifa lao iliyokuwa imeporwa.

Kapokelewa na watu wa rika zote na makundi yote kuanzia viongozi wa dini, serikali,mila,vijana,akina mama,wazee n.k.kishindo chake kimeteka jiji la Mbeya, kwa hakika ujio wake tokea angani aliko kuwa akiingia na ndege ya jeshi kumefanya jiji lote kulipuka kwa shangwe, nderemo na vifijo ambayo haijawahi kutokea.

Rai yangu kwa upinzani na mtu yeyote yule asithubutu kuchukua Fomu ya ubunge kugombea ubunge jimbo la Mbeya mjini maana kwa hali iliyopo kwa sasa na kwa namna Dkt. Tulia anavyopendwa na kukubalika kwa hakika itakuwa ni kupoteza muda na fedha kushindana na Rais wa IPU Dkt. Tulia Acksoni mwansasu katika sanduku la kura.

Dr Tulia siyo mtu wa kawaida ,ana nguvu fulani ndani yake isiyo ya kawaida na ya ajabu sana yenye kuonyesha uwepo wa Mungu ndani yake hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa Dr Tulia ni mcha Mungu mkubwa na mwenye kumtegemea na kumtumainia Mungu kwa kila jambo.upepo wa Dr Tulia ni mkali na wenye mvumo wa kipekee sana,ni mtu mwenye ushawishi wa hali ya juu sana. Kwa hakika kaiteka mioyo ya wana Mbeya na kutembea mioyoni mwao.

Ni faraja kwa wana Mbeya ni fahari kwa wana nyanda za juu kusini na ni Nembo kwa wana mbeya. ameuheshimisha mkoa ,amelipa hadhi jiji,amewafanya wana Mbeya watembee kifua mbele na kwa kujiamini .na kila mtu anaona anastahili kuringa na kujivunia Dr Tulia kwa kuwa ni Mbeya ndio iliyompeleka Bungeni Dr Tulia na ni Mbeya ndio iliyotoa Rais wa umoja wa mabunge Duniani kati ya nchi zaidi ya 180 wanachama wa IPU Duniani kwote.

ndio maana wana Mbeya wamefanya mapokezi ya kishindo na ya heshima kubwa sana kumpatia mtoto wao na dada yao na mbunge wao Dkt Tulia Acksoni mwansasu kwa ushindi na heshima ya kipekee aliyolipatia jiji la Mbeya.kila mmoja anajiona kuwa kupitia kura yake ya ndio kwa Dkt Tulia Taifa limepata heshima ya kutoa Rais wa IPU na mwanamke wa kwanza kutoka Barani Afrika kushinda na kushika urais wa IPU.

Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Labda wewe na chawa wenzako.
 
Bila kusomba wanafunzi wa shule mbali mbali mkutano usingekuwa na watu.

Mwambieni huyu dada mbeya ni mji usiokuwa na miundombinu kabisa.
Hakuna mpango wa ujenzi wa mji.
Mitaa haipitiki.
Mji unategemea bara bara moja tangu uhuru.
Watakapoanza kuijenga kazi zitakuwa hazifanyiki.
Huu ushauri au lawama?
 
Ndege ya jeshi inambebaje spika??? Aibu kubwa
Ndege ni mali ya jeshi la wananchi wa Tanzania na Dr Tulia ni mwananchi wa Tanzania na ni Mtanzania kwa kuzaliwa nasiyo mkimbizi. Dr Tulia ni mbunge,speaker wa bunge na Rais wa IPU. Nafikiri unenielewa vyema ewe nyumbu na mnafiki mkubwa wewe.
 
Barabara za njia nne zinakwenda kuanza kujengwa muda siyo mrefu maana kila kitu kipo tayari na fedha zipo tayari.kaaa mkao wa kula uchangamkie fursa za kupata ajira au kufanya biashara ujenzi utakapo anza . barabara za mitaa nazo zinakwenda kutandazwa kama mkeka kuzunguka jiji lote.

Unavyoandika kwamba ujenzi utaanza muda sio mrefu, umeona bango lolote la ujenzi pale Nsalaga ambapo ndio njia nne zitaanza kwa Mbeya mjini?
 
Sikiliza wewe shetani na mvuta bangi uliye kubuhu kama mwenziyo SAGAI GALGANO. Ni kuwa Dr Tulia hana wa kumtikisa wala kumpa upinzani wala kumtetelesha katika kushinda ubunge wa jimbo la Mbeya mjini .Dr Tulia ndio chaguo la wanambeya. ndio maana unaona waliojaribu kuitisha maandamano mkoani Mbeya wamevuna aibu ya mwaka na kuishia kujificha vichakani kama panya
Wewe ni mama mtu mzima lakini sijui kwanini huna akili mpuuzi wewe
 
Back
Top Bottom