Dkt. Tulia anataka awe Spika wa Bunge lisiloweza kufanya chochote?

Dkt. Tulia anataka awe Spika wa Bunge lisiloweza kufanya chochote?

Wanasiasa wanaonekana ni wasomi wanaozikataa taaluma zao. Au taaluma zao zimewakataa. Ukweli kawao ni kama giza tu. Tatizo kubwa llipo kwetu tuanaowaimbia mapambio
Usomi kama ndio huo wa Tulia au Kabudi kumwabudu marehemu na kumwita Mungu, ni afadhali mtu aliyeishia elimu ya ngumbaru. Hawa hawakusoma kwaajili ya kuongeza maarifa bali walisoma ili wawe wajinga na wanafiki. Wanakuwa madokta na maprofesa wa unafiki, siyo maarifa.
 
Kodi ya watanzania inayokusanywa kwa kiwango kikubwa kinawahudumia baadhi ya watu na taasisi ambazo ziko kinyume na viapo vyao kwa mujibu wa katiba, hawasaidii wananchi nabadala yake nikinyume chake''
Uongozi wa Taifa imekuwa ni mahali pa kuwaweka walioteuliwa kupora pesa ya wananchi bila ya kuwa na msaada wowote kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom