Dkt. Tulia awasha moto Mbeya Mjini, awafundisha wananchi masuala ya kisheria hadharani na kusoma maamuzi ya Mahakama

Kimaadili ya uongozi yeye kama Spika wa Bunge alipaswa asigusie kabisa habari za DPW, bunge ni chombo ambacho kilitoa maamuzi yake baada ya kuyajadili makubalino baina ya JMT na Dubai...

Sijui viongozi wa sasa inakuaje wanamezwa na ushabiki wa upepo, huyu asingeweza fanya hivi wakati wa Kambarage...
 
Andamana au nenda mahakamani maana naona kichwa chako hakielewi chochote au unaandika ukiwa na kilevi kichwani
Nawe nakuambia ktk orodha ya KAZI halali za kiume, uchawa haumo!!

Bandari zetu ni URITHI wetu, hazitauzwa, kubinafsishwa, Wala kugawiwa Bure Kwa wageni,

Ukitoa Hongo, umetapeliwa.

Kataa wahuni!!
 
Kashitaki mahakamani kama wenzio waliokurupuka na kuangukia pua zao kwa kishindo na kupoteza fahamu
 
Hivi ilikuwaje Tulia akawa Spika ?
Kwa sababu anao uwezo mkubwa wa kiuongozi na kiutendaji kama ambavyo ameonyesha Tangia alipotua ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.Ndio maana unaona kutokana na uwezo wake mkubwa wa kiuongozi imefikia sasa Dunia kuhitaji kipawa chake cha uongozi na kutaka kumpa Urais wa umoja wa mabunge Duniani ,.ambapo kwa sasa inasubiriwa siku Tu ya uchaguzi ili apigiwe kura za kishindo.
 


Jamani tutafutieni wanasiasa wenye kupendwa na wananchi na kutuletea maendeleo sio hawa ambao wanaishia kuiba kura na kuwa vibaraka na wapitishaji wa upigaji wa wachache
 
Tulia! Nani huyu? Huyu ambaye degree zote za pichu! Ukimuona amefungua mdomo kama pango na huko chini kumeachama tu! Huyu asome asisome ni kilaza tu.
Mamako alipata ka-cheti ka chupi na akalamba mimba isiyo na matarajio ukazaliwa shoga wewe mnuka mavi .


USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Huyu Lucas ana tatizo sehemu kichwani siyo bure, aise jamaa anasaka uteuzi kwa udi na uvumba dah vijana watanganyika hadi ahibu naona mimi!
Ukiona mwanaume anajopendekeza sana kwa wanawake ujue huyo kaathirika kihisia.

Ndivyo alivyo huyo jamaa ni mwathirika wa emotional.
 
Ukiona mwanaume anajopendekeza sana kwa wanawake ujue huyo kaathirika kihisia.

Ndivyo alivyo huyo jamaa ni mwathirika wa emotional.
Wewe Endelea na ngonjera wakati jiji la Mbeya linasonga mbele kimaendeleo chini ya uongozi thabiti wa Dr Tulia mbunge wa jimbo aliyeleta matumaini kwa wana Mbeya mjini.Baada ya kuwa na mbunge wa chadema ambaye alikuwa hajitambui wala kutambua wajibu wake.
 
sibishani na MACHOKO yanayowaza kuzibuliwa MITARO kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…