Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Tulia ukilala unasali kwa roho na kweli? Hujajifunza tu ya Job? Cheo ni dhamana na WAKATI SI MILELE!
Yuko wapi Job leo hii
Yuko wapi Sabaya
Yuko wapi Bashite....
Yako wapi mafirauni yote yaliyotamba kwa nyakati zao?
Yuko wapi Lisu?
Yuko wapi msigwa?
Yuko wapi sugu?
Yuko wapi lema?
 
Hili nchi halitoendelea kamwe
Tunachouliza watanzania, hivi hilo Bunge lina double standards, Katika maamuzi yake?

Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!
 
IMG_20220131_161945.jpg
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
"Wakina Mdee walivuliwa uanachama wao kwa kutiii sheria ya viti maalum"
Hiyo sentence yako imetosha kukuelezea jinsi ulivyo mtupu kichwani!
Kwa hiyo ulitaka Covid-19 wawe wabunge bila kufuata utaratibu wa chama chao.....kusudi watii matakwa ya CCM?
 
Tunachouliza watanzania, hivi hilo Bunge lina double standards, Katika maamuzi yake?

Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!
Acha tim jiwe ifanye kazi ebooo
 
Kweli nyakati zinaenda zinabadilika....... imagine leo hii ni MDEE against CHADEMA.....!!!

NB;
Tunapaswa kujifunza kuwa si vyema kumchukia sana mtu na pia si vyema kumchukia sana mtu...maana nyakati hubadilika na watu hubadilika....
 
MIMI KAZI YANGU NI MOJA TU - SPIKA TULIA AKSON

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Tulia Ackson Tulia Ackson amezungumza na wanaHabari kuhusu uamuzi wa kuwafukuza Bungeni Wabunge 19 wa CHADEMA Halima Mdee na wenzake. Amesema yeye anasubiri Maamuzi ya Mahakama.

View attachment 2227166
Huyu Spika ametoa hoja dhaifu sana, ameridhalilisha bunge na wasome wa sheria.
Ngoja nifafanue hili.
1. Spika anasema aliambiwa na wakina Mdee kuwa wamedhamiria kufungua kesi hivyo akaamua awasubiri kwanza wafungue kesi!
Mbunge aliyevuliwa uanachama wake anaweza kwenda mahakamani baada ya siku, wiki, mwezi, mwaka nk. Spika atajuaje mhusika atakwenda mahakamani lini ili asichukue maamuzi kwanza? Kwa mfano wakina mdee wangesema watafungua kesi mwakani, je spika angesubiri muda wote huo?

2. Kipindi chote kifupi ambacho wakina mdee wamevuliwa uanachama na baraza kuu la CHADEMA kabla ya kufungua kesi, kwanini waliendelea na status za kibunge ikiwemo kuingia bungeni?

3. Spika alijuaje aina ya kesi inayokwenda kufunguliwa na akina Mdee kabla ya kesi husika kutajwa mahakamani?

4. Spika aliwezaje kuzifanyia kazi taarifa za kusikia sikia za kina mdee kutaka kufungua kesi na hapo hapo akashindwa kuzifanyia kazi taarifa za kusikia sikia (ambazo zilitangulia) kuhusu kuvuliwa uanachama wa CHADEMA?

5. Kwanini Spika alipopokea barua inayohusu kuvuliwa uanachama wa akina Mdee (siku ya ijumaa asubuhi) hakuifanyia kazi papo hapo ikiwemo kutangaza kupoteza ubunge badala yake akasubiri mpaka wafungue kesi?
 
Harafu mjinga mmoja anasema nchi hii haina wenyewe, wakati spika mwenyewe kauliza wenye nchi wakamwambia atulie
 
Tunachouliza watanzania, hivi hilo Bunge lina double standards, Katika maamuzi yake?

Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!
Wakikujibu nishitue.
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Crap!

Utendaji wa bunge unategemea uwepo wa wabunge wa viti maalum - kweli ukiwa mnafiki, ni rahisi kukubali kuwa mjinga. Watu wanatetea ujinga.

Natural justice principle ni kwamba, taasisi yoyote ambayo wewe umo, ikikuondolea haki au manufaa yoyote yale, iwe kwa haki, kimakosa au kukuonea, utaendela kuitumikia hukumu hiyo mpaka ama fhombo cha juu zaidi ndani ya taasisi yako au mahakama itakavyobatilisha uamyzi wa taasisi hiyo.

Huu upuuzi wa Tulia na wajinga wengine waliomo humu, eti ukishakatia rufaa maamuzi ya taasisi yako mahakamani, basi unaendelea na haki za awali, ni uwendawazimu wa hali ya juu. Kama shwria zingekuwa zinafanya kazi kwa namna hiyo, tysingekuwa na wafungwa. Kwa maana mtu akihukumiwa kifungo, anakata rufaa, kisha anakuwa huru kusubiria maamyzi ya rufaa. Na hayo maamuzi yakitoka, unakata rufaa tena, hukumu inasimama, unaendelea kuwa huru.
 
Mnasumbuka bure wale 19 hawatoki Bungeni.
Kesi itazungushwa hadi msahau.

Tutaongeaje na Wahisani juu ya Democrasia kwenye medani za Kimataifa ?
Hao 19 ndio chambo ya kuonesha Demokrasia yetu kimataifa.

Alaf nauliza.
Hivi Chadema hawawachangishi tena ile ruzuku za kunenepesha mfuko wa Chama zile milioni mbili kwa kila Mbunge?

Maana 19 X 200,0000/=
= 38,000,000/= kwa mwezi
Kwa mwaka 38m X 12.
= 456,000,000/=
Pesa yote hii kweli Mbowe anaisusa ?

Hivi ungekuwa wewe Mwanachadema Kindakindaki.
CCM wamekupa ubunge wa bure ule kuku mjengoni miaka mitano.
Ungegoma kweli, sababu tu wanachama hawataki. ?

Na njaa yote hii
Sijui kama kuna Mtanzania angeiacha hiyo fulsa, sijui.
 
Crap!

Utendaji wa bunge unategemea uwepo wa wabunge wa viti maalum - kweli ukiwa mnafiki, ni rahisi kukubali kuwa mjinga. Watu wanatetea ujinga.

Natural justice principle ni kwamba, taasisi yoyote ambayo wewe umo, ikikuondolea haki au manufaa yoyote yale, iwe kwa haki, kimakosa au kukuonea, utaendela kuitumikia hukumu hiyo mpaka ama fhombo cha juu zaidi ndani ya taasisi yako au mahakama itakavyobatilisha uamyzi wa taasisi hiyo.

Huu upuuzi wa Tulia na wajinga wengine waliomo humu, eti ukishakatia rufaa maamuzi ya taasisi yako mahakamani, basi unaendelea na haki za awali, ni uwendawazimu wa hali ya juu. Kama shwria zingekuwa zinafanya kazi kwa namna hiyo, tysingekuwa na wafungwa. Kwa maana mtu akihukumiwa kifungo, anakata rufaa, kisha anakuwa huru kusubiria maamyzi ya rufaa. Na hayo maamuzi yakitoka, unakata rufaa tena, hukumu inasimama, unaendelea kuwa huru.

Kaka wala no need ya hasira

Haya yote chanzo ni chadema wenyewe, yote mnayoongea yanaweza kuwa Sawa Ila mnasahau kuwa tuko Africa, hapa sio ulaya au marekani

Kesi itaendeshwa na wakina mdee watashinda

Mbowe angekuwa smart angewasamehe Tu nakuwambia wapige michango Yao kama zaman wachukue ruzuku zao then wajipange upya
 
Mnasumbuka bure wale 19 hawatoki Bungeni.
Kesi itazungushwa hadi msahau.

Tutaongeaje na Wahisani juu ya Democrasia kwenye medani za Kimataifa ?
Hao 19 ndio chambo ya kuonesha Demokrasia yetu kimataifa.

Alaf nauliza.
Hivi Chadema hawawachangishi tena ile ruzuku za kunenepesha mfuko wa Chama zile milioni mbili kwa kila Mbunge?

Maana 19 X 200,0000/=
= 38,000,000/= kwa mwezi
Kwa mwaka 38m X 12.
= 456,000,000/=
Pesa yote hii kweli Mbowe anaisusa ?

Hivi ungekuwa wewe Mwanachadema Kindakindaki.
CCM wamekupa ubunge wa bure ule kuku mjengoni miaka mitano.
Ungegoma kweli, sababu tu wanachama hawataki. ?

Na njaa yote hii
Sijui kama kuna Mtanzania angeiacha hiyo fulsa, sijui.

Viongozi wa chadema Wana utoto flan sometimes wanapenda kuonewa huruma kwenye mitandao kama hivi!

Wao walisema kabisa hawapeleki wabunge wenyewe walijua wanakomoa serikali, katika haya Maisha ya kiafrica uwez kubishana na serikali never,

Ndio maana unaambiwa serikali ina mkono mrefu
 
Back
Top Bottom