johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Alikuwa ni David Silinde akiwa Chadema!KUna mtu alisema itafika siku tutaimba wimbo mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa ni David Silinde akiwa Chadema!KUna mtu alisema itafika siku tutaimba wimbo mmoja
Big 4 kwa kilimo cha mahindi siyo mazao yote!Na je ya kati hakuna magofu na majengo kama vibanda umiza lakini wanajengewa treni ya umeme,kumbuka mikoa ya nyanda za juu kusini ndio zamani ikiitwa big 4 na sasa ni big 6, tunawalisha nyie wote, na tunalipa kodi zaidi hata ya hao ambao unawakingia kifua.
Kwani nani alikuwa mbunge wa Mbeya na alifanya nini katika kipindi chake, narudia tena maana ya kutuma hizo salamu ni kuona wenzake wanavyofanya kazi na kuteteta Mbeya na si kutetea CCM,Sugu alitumia miaka mingi kuteteta SACCOSS yenu wakati haitusaidii kitu. Kama umesoma fasihi tena ya kidato cha pili ungeelewa ni kwanini nimeandika hivyo ,shida shule yenu ni kukalili hatua kwa hatua bila kufikiri nje ya box.Dr Tulia hajamtaja Sugu bali ameilalamikia serikali!
Hayo ni yako wewe kajambanani!Kwani nani alikuwa mbunge wa Mbeya na alifanya nini katika kipindi chake, narudia tena maana ya kutuma hizo salamu ni kuona wenzake wanavyofanya kazi na kuteteta Mbeya na si kutetea CCM,Sugu alitumia miaka mingi kuteteta SACCOSS yenu wakati haitusaidii kitu. Kama umesoma fasihi tena ya kidato cha pili ungeelewa ni kwanini nimeandika hivyo ,shida shule yenu ni kukalili hatua kwa hatua bila kufikiri nje ya box.
Mi kweli tusije ondoa focus ya madai ya wana Mbeya ya muda mrefu kupuuzwa na serikali za Awamu zote.Dr Tulia hajamtaja Sugu bali ameilalamikia serikali!
Iboresheni kwanza TAZARA kabla ya kulilia hiyo treni ya umeme.Na je ya kati hakuna magofu na majengo kama vibanda umiza lakini wanajengewa treni ya umeme,kumbuka mikoa ya nyanda za juu kusini ndio zamani ikiitwa big 4 na sasa ni big 6, tunawalisha nyie wote, na tunalipa kodi zaidi hata ya hao ambao unawakingia kifua.
TAZARA ni SGR ambayo haitumi umeme hivyo ni wakati sasa wa huyo Mbunge wa Mbeya kuhakikisha TAZARA inatumua umeme.Bora hata wangeililia watu wa kutoka Tanga, Kilimanjaro na Arusha! Ila siyo Nyanda za Juu Kusini! Maana hao wamejengewa treni ya kisasa kabisa ya TAZARA! Lakini wameshindwa kuishawishi Serikali kuiboresha ili iwe na tija.
Leo hii ukisafiri na treni ya TAZARA, utashuhudia tu magofu ya majengo kwenye stesheni zake, na huduma mbovu! Huku abiria na mizigo ikiwa ni ya kutosha tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kipindi jiwe anapeleka miradi isiyo na idadi chato wala hakuyasema haya.
Zaidi walishangilia na kuunga mkono.
Mlikutana wapi? Mlipoenda kuzuru kaburi la malaika wa kuzimu?Ahsante
kny Dr Tulia!
Huyo na Nduguyai ni walewale tofauti ni kimo na wembamba.Safi Mbunge wetu makini Dkt Tulia
Enzi za mwendazake asingeweza kuongea haya, halafu anataka treni ya umeme kama wengine ni wengine wepi tz hii wana treni ya umeme?
Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.
Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.
Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.
Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.
Source: Bungeni
Kikwetu twasema 'ikupalamasya'. Anatapatapa na kupapasa ashike wapi.Wakati mwenda zake anapeleka miradi ya kimaendeleo chato,uyo naibu spika akuwahi hata kukoroma zaidi ya kugonga meza na kupitisha miradi ya chato kwa kushangilia.
Alikuwa wapi kusema hayo wakati mwendazake anajenga uwanja wa ndege wa chato?!!hayo mabilioni ya chato mbona hakuyapigia kelele?!!
Hahahaaaa.......!Enzi za mwendazake asingeweza kuongea haya, halafu anataka treni ya umeme kama wengine ni wengine wepi tz hii wana treni ya umeme?
Kila zama na kitabu chake!Kikwetu twasema 'ikupalamasya'. Anatapatapa na kupapasa ashike wapi.
Alikuwa wa Jiwe kwa jeuri na kiburi kilichowazi kabisa.
TAZARA ni SGR ambayo haitumi umeme hivyo ni wakati sasa wa huyo Mbunge wa Mbeya kuhakikisha TAZARA inatumua umeme.