Dkt. Wibroad Slaa ni Ndumilakuwili

Dkt. Wibroad Slaa ni Ndumilakuwili

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,759
Reaction score
1,061
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
Hivi mbowe na dr silaa nani ndumilakuwili?

Je yule aliyezunguka Tanzania nzima kwa miaka nane akisema lowasa ni mwizi na fisadi kisha 2015 akamnadi kwenye majukwaa kama mgombea urais au yule aliyeamua kumkataa lowasa mwanzo hadi mwisbo bila kubadili maneni wala msimamo?


View attachment 2562809
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
Hivi ni mwanasiasa gani ambaye habadiliki.
Lema alisema hata Mungu atafurahia kama lowasa akipigwa mawe.
Chadema nzima walisema lowassa fisadi lakini mwisho wakabadilika kama kinyonga na ndani ya siku moja akapewa kugombea uraisi via chadema.
Slaa akajiondoa kwa sababu hiyo.
Sasa kati ya hawa wawili anayebadilika ni nani?
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
Naunga mkono hoja yako,huyu Mzee siyo wa kumuamini kabisa,kama akileta wazo zuri lichukuliwe na kufanyiwa kazi ila yeye kumkaribisha chumbani big no !!!

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
Wilboard Slaa ni Sukuma gang.
 
Hivi ni mwanasiasa gani ambaye habadiliki.
Lema alisema hata Mungu atafurahia kama lowasa akipigwa mawe.
Chadema nzima walisema lowassa fisadi lakini mwisho wakabadilika kama kinyonga na ndani ya siku moja akapewa kugombea uraisi via chadema.
Slaa akajiondoa kwa sababu hiyo.
Sasa kati ya hawa wawili anayebadilika ni nani?
Slaa aliyegeuka akawa chawa wa Mwendakuzimu? Pale ulikuwa ukitafutwa ushindi kwa mbinu ambazo wao waliona ndizo zitawapa ushindi jamaa kilichomkimbiza ni ile kutokuwa flag bearer, hata kama ingekuwa ameona 'wenzake' wamekengeuka kitendo cha kujiunga na mtesi ambaye aliua, alijeruhi na alipoteza baadhi ya 'wenzake' hiyo si tu ni kuwa kinyonga bali ni kuwa msaliti na kuwa muuaji kwa kuwa ameungana na wauaji.
 
Hivi mbowe na dr silaa nani ndumilakuwili?

Je yule aliyezunguka Tanzania nzima kwa miaka nane akisema lowasa ni mwizi na fisadi kisha 2015 akamnadi kwenye majukwaa kama mgombea urais au yule aliyeamua kumkataa lowasa mwanzo hadi mwisbo bila kubadili maneni wala msimamo?


View attachment 2562809
Na yule aliyehamia chama ambacho kwa miaka mingi alikituhumu kwa maovu mengi. Na wakati anahama alisema kuwa hajawahi kurudisha kadi ya CCM. Na huyo huyo ambae wakati akiwa Balozi alitumika sana kupinga madai ya mikutano ya hadhara akisema kuwa huko aliko baada ya uchaguzi hamna mambo ya siasa.
Mbowe kwa kumkumbatia Lowassa aliwezesha chama chake kupata wabunge wengi kuliko kama angesimama Slaa. Aidha, alileta mpasuko katika CCM.
Hivi mmewahi kujiuliza ingekuwaje kama Slaa angeachwa agombee halafu katikati angetangaza kuwa yeye ni CCM? Au baada ya uchaguzi tu angerudi CCM? CDM ingepata pigo kuliko ilivyopata Lowassa na wenzake waliporudi CCM.
Mbowe na chama chake walikuwa sahihi kabisa kumkumbatia Lowassa huku wakishikilia pua zao.

Amandla...
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
Katika siasa hakuna rafiki ama adui wa kudumu, bali yapo maslahi ya kudumu. Kama maslahi yake na ya CDM yanarandana kwa wakati huu, basi nafikiri ni wakati muafaka kwake kurudi kundini na akagombee nafasi ya ubunge ili aweze kukitumikia vizuri chama chake.
 
Chadema jifunzeni kujenga hoja bila lugha za matusi,Mbona mtaeleweka tu,ila ukionekana unatukana kila coment watu watakuupuza...Mwisho wa siku utajikatia tamaa mana hakuna anayekujibu.
 
Naunga mkono hoja yako,huyu Mzee siyo wa kumuamini kabisa,kama akileta wazo zuri lichukuliwe na kufanyiwa kazi ila yeye kumkaribisha chumbani big no !!!

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hivi lini mtajifunza kuwaachia wanasiasa na siasa zao? Kama iliwezekana kwa Lowassa inashindikana vp kwa huyo Dr Slaa? Hivi kuna jambo kubwa kama lile?
 
Unavyosema Slaa ni kinyonga ni kama vile Chadema haina hiyo tabia inamaana umesahau si hawa hawa Chadema walisema Lowassa ni fisadi lakini Cha ajabu wakamteua kuwa mgombea wao wa Uraisi je mtoa nada Huu utauwitaje?
mbinguni
 
Unavyosema Slaa ni kinyonga ni kama vile Chadema haina hiyo tabia inamaana umesahau si hawa hawa Chadema walisema Lowassa ni fisadi lakini Cha ajabu wakamteua kuwa mgombea wao wa Uraisi je mtoa nada Huu utauwitaje?
mbinguni
Wambie hao jamaa wanajiona wako smart sana kumbe ni madunduka tu hamna kitu CCM imechoka ila kwa Sasa hakuna chama tena maana Hangaya katumia soft weapon kumalizina na DJ Mboowe
 
Hivi mbowe na dr silaa nani ndumilakuwili?

Je yule aliyezunguka Tanzania nzima kwa miaka nane akisema lowasa ni mwizi na fisadi kisha 2015 akamnadi kwenye majukwaa kama mgombea urais au yule aliyeamua kumkataa lowasa mwanzo hadi mwisbo bila kubadili maneni wala msimamo?


View attachment 2562809
Slaa alishindwa kuwasaidia na dikteta 2020 matokeo yake akapora uchaguz tukamlaani akafa kwa laana sasa yuko jehanamu analia mayu noyaga.
 
Hivi lini mtajifunza kuwaachia wanasiasa na siasa zao? Kama iliwezekana kwa Lowassa inashindikana vp kwa huyo Dr Slaa? Hivi kuna jambo kubwa kama lile?
mchukuen slaa awasaidie lumumba lasivyo mamayenu hata robo ya kura za mgombe wa chadema hamtapata
 
Chadema jifunzeni kujenga hoja bila lugha za matusi,Mbona mtaeleweka tu,ila ukionekana unatukana kila coment watu watakuupuza...Mwisho wa siku utajikatia tamaa mana hakuna anayekujibu.
Sukuma gang na nguruwe wa uvccm wanapaswa watafute kazi za kufanya otherwise watakufa njaa.
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga halafu mwisho wa siku mnabaki bila faida.

Chadema mnao watu wenu mliowatengeneza wenyewe wazuri sana. Watumieni na kuwaamini hao. Achaneni na hawa mamluki waliotimwa kuuharibu upinzani.
Kwan kakosea nn mzee wa watu kutoa maoni yake imekuwa kosa, hebu punguza ujinga hatuwezi kujenga nchi kwa ujinga huu
 
Back
Top Bottom