Dkt. Wibroad Slaa ni Ndumilakuwili

Dr. Slaa aliondoka CCM na tangu hapo hajajiunga na CCM. Dr. Slaa alipewa kazi ya utumishi wa umma na akaifanya vizuri. Mpaka hivi sasa kuna watumishi wa umma maelfu ambao ni wanachama wa upinzani. Ina maana ninyi upinzani hasa CHADEMA wanachama wenu wote hawatakiwi kuwa watumishi wa watu/serkali katika nyanja mbalimbali. Dr. Slaa alikuwa na haki ya kuteuliwa na kuikubali kazi ya umma. Yeye hajatangaza hata siku moja kujiunga na CCM na mpaka leo si mwanachama wa CCM. Kama ni mamluki basi hata Mbowe ni mamluki. Ameingia makualiano ambayo hayana tija na CHADEMA. Amepigwa fix na Samia sasa wanangoja azunguke TZ amalize pesa yote na kuchoka, utakapofika wakati wa kuuza sera atakuwa kawa chakari kama mlevi alieacha kunywa konyagi na kuhamia kwenye gongo.
 
Ku
Kuna mwanasiasa ndumbilakuwili kama Mbowe aliyegeuza gia angani! nilikuwa mwanachadema mzuri, baada ya gia ya angani ya Mbowe 2015,niliona amna mwanasiasa mkweli tanganyika,wote wanasiasa maslahi
 
Ungeandika post yako kama a real critical thinker labda ingeweza kuwa na maana, lakini haishangazi kwani hapajawahi kuwepo Sukuma gang mwenye akili.
 
Kuna ukweli asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…