Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Dkt. Slaa: Leo naomba kuzungumza nanyi kidogo kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 20. Nina taarifa kwamba kesho asubuhi majira ya saa mbili vijana wataandamana kutoka Temeke kwenda kukabidhi maoni yao, hoja zao, kwa mpendwa Rais wao kule Magogoni.
Vijana hao ambao wanaandamana walipeleka barua yao polisi kama mujibu wa Sheria ya Jamhuri ya muungano inavyotaka, nafahamu kwamba mkuu wa polisi kanda maalum ametoa taarifa lakini taarifa yake hiyo ni kinyume na sheria za Tanzania na kwasababu hiyo vijana wameona wanaendelea na maandamano yao.
Mimi naomba kuungana nao na naomba wananchi mjitokeze kwasababu kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 27 ibara ndogo ya kwanza na ya pili ni wajibu wa kila mtanzania kulinda rasilimaliza nchi yetu.
Vijana hao ambao wanaandamana walipeleka barua yao polisi kama mujibu wa Sheria ya Jamhuri ya muungano inavyotaka, nafahamu kwamba mkuu wa polisi kanda maalum ametoa taarifa lakini taarifa yake hiyo ni kinyume na sheria za Tanzania na kwasababu hiyo vijana wameona wanaendelea na maandamano yao.
Mimi naomba kuungana nao na naomba wananchi mjitokeze kwasababu kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 27 ibara ndogo ya kwanza na ya pili ni wajibu wa kila mtanzania kulinda rasilimaliza nchi yetu.