Dkt. Wilbroad Slaa asema zuio la maandamano sakata la bandari ni kinyume cha sheria

Dkt. Wilbroad Slaa asema zuio la maandamano sakata la bandari ni kinyume cha sheria

Dkt. Slaa: Leo naomba kuzungumza nanyi kidogo kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 20. Nina taarifa kwamba kesho asubuhi majira ya saa mbili vijana wataandamana kutoka Temeke kwenda kukabidhi maoni yao, hoja zao, kwa mpendwa Rais wao kule Magogoni.

Vijana hao ambao wanaandamana walipeleka barua yao polisi kama mujibu wa Sheria ya Jamhuri ya muungano inavyotaka, nafahamu kwamba mkuu wa polisi kanda maalum ametoa taarifa lakini taarifa yake hiyo ni kinyume na sheria za Tanzania na kwasababu hiyo vijana wameona wanaendelea na maandamano yao.

Mimi naomba kuungana nao na naomba wananchi mjitokeze kwasababu kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 27 ibara ndogo ya kwanza na ya pili ni wajibu wa kila mtanzania kulinda rasilimaliza nchi yetu.

Huyu mzee anatakiwa aanze kuandamana yeye
 
Huyo anayeuza hiyo bandari naye ajitokeze akae mbele ili kuwazuia waandamanaji, asitumie vyombo vya dola kuzuia waandamanaji. Hayo ni maandamano ya amani kuzuia mali za watanganyika kuuzwa na Mzanzibari.
Heshimu mamlaka ya Raisi kijana ajitokeze yeye ndo anaendamana. Au unavimba kichwa na uhuru mnao pewa usiongee kwenye keyboard ikifika mda na saa ww nenda kayazungumze hayo unayonena.
 
Dr. Slaa ndio kiboko ya mafisadi CCM wanamuogopa sana maana hawawezi kushindana naye kwa hoja
 
Inapendeza sana kuona wabara wameamka kudai mali yao iliyoporwa kwa uzembe wa mtawala, licha ya jitihada za vyombo karibia vyote vya habari kutaka kulizima hili suala la bandari na ule mkataba wa kinyonyaji.

Kitendo cha polisi kuyazuia hayo maandamano kwanza wanazidi kumharibia msaliti aliyetutoa sadaka kwa wajomba, afadhali wawaache waandamanaji wapeleke ujumbe w

..Ni vizuri tukatumia jina WATANGANYIKA.

..Wazanzibari wamegoma kuitwa Tanzania Visiwano.

..Wanaukubali Utanzania wakati wa kufisadi mali za Watanganyika, au kung'ang'ania madaraka.
 
Heshimu mamlaka ya Raisi kijana ajitokeze yeye ndo anaendamana. Au unavimba kichwa na uhuru mnao pewa usiongee kwenye keyboard ikifika mda na saa ww nenda kayazungumze hayo unayonena.
Mamlaka ya rais kwa hizi chaguzi za kishenzi? Kwahiyo hiyo mamlaka ni ili auze mali ya nchi bila ridhaa ya wananchi? Nyie mnaopewa mamlaka hadi mnakuwa na viburi vya madaraka, ndio maana mnaishia kuuza raslimali za nchi mkiamini mna vyombo vya dola vya kulinda wizi wenu.
 
Mamlaka ya rais kwa hizi chaguzi za kishenzi? Kwahiyo hiyo mamlaka ni ili auze mali ya nchi bila ridhaa ya wananchi? Nyie mnaopewa mamlaka hadi mnakuwa na viburi vya madaraka, ndio maana mnaishia kuuza raslimali za nchi mkiamini mna vyombo vya dola vya kulinda wizi wenu.
Kwani siumepitishwa na wabunge mliowachagua wenyewe sasa mwana mimi nikushauri jambo kipindi cha jiwe ukiongea haya nishida unajitafutia ila sasa hivi Uhuru upo kwa kila Raia kutoa maoni yake.

Unaonaje ukaunga tera ukapata link na waandishi ukazungumza hayo yaliyopo kwenye nafsi yako wausika wakusikie. Kila la heri mkuu
 
Katiba imebadilika ? Maana kuna kipindi maandamano yalisitishwa kwa kipindi kisicho na ukomo na hakuwahi kuongea🐒

images - 2023-06-19T091110.795.jpeg
 
Kwani siumepitishwa na wabunge mliowachagua wenyewe sasa mwana mimi nikushauri jambo kipindi cha jiwe ukiongea haya nishida unajitafutia ila sasa hivi Uhuru upo kwa kila Raia kutoa maoni yake.

Unaonaje ukaunga tera ukapata link na waandishi ukazungumza hayo yaliyopo kwenye nafsi yako wausika wakusikie. Kila la heri mkuu

Hao wabunge nani aliwachagua, kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Hicho kipindi cha jiwe tuliongea sana na ndio maana akaishia kupora uchaguzi maana hakuwa na uhakika wa ushindi kihivyo.

Yaliyomo nafsini kwangu nayaongea kila siku huku jukwaani, na huko kwenye maandamano ujumbe utafikishwa vizuri zaidi. Au unaumia watu wakiandamana boss?
 
Hao wabunge nani aliwachagua, kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Hicho kipindi cha jiwe tuliongea sana na ndio maana akaishia kupora uchaguzi maana hakuwa na uhakika wa ushindi kihivyo.

Yaliyomo nafsini kwangu nayaongea kila siku huku jukwaani, na huko kwenye maandamano ujumbe utafikishwa vizuri zaidi. Au unaumia watu wakiandamana boss?
Sasa kwann niumie nyie kuandamana mkuu kila mtu amepewa uhuru wa kufanya kila atakacho ili mradi usivunje misingi ya kisheria ya nchi.
 
Back
Top Bottom