Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Team Magufuli wote wanayaunga mkono maandamano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanayotafutiwa ufumbuzi kwa mbali saana.Siyo kupinga bali kuwaepusha Watu na hatari
Jiwe alikuwa na maamuzi Binafsi 😄
Huyu mzee anatakiwa aanze kuandamana yeyeDkt. Slaa: Leo naomba kuzungumza nanyi kidogo kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 20. Nina taarifa kwamba kesho asubuhi majira ya saa mbili vijana wataandamana kutoka Temeke kwenda kukabidhi maoni yao, hoja zao, kwa mpendwa Rais wao kule Magogoni.
Vijana hao ambao wanaandamana walipeleka barua yao polisi kama mujibu wa Sheria ya Jamhuri ya muungano inavyotaka, nafahamu kwamba mkuu wa polisi kanda maalum ametoa taarifa lakini taarifa yake hiyo ni kinyume na sheria za Tanzania na kwasababu hiyo vijana wameona wanaendelea na maandamano yao.
Mimi naomba kuungana nao na naomba wananchi mjitokeze kwasababu kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 27 ibara ndogo ya kwanza na ya pili ni wajibu wa kila mtanzania kulinda rasilimaliza nchi yetu.
Vp mzee utakuwa front line [emoji1]Waache raia watimize haki yao ya kikatiba.
Unaweza andamana huko huko ulipoNingekuwepo dar ningejiunga na maandamano
Heshimu mamlaka ya Raisi kijana ajitokeze yeye ndo anaendamana. Au unavimba kichwa na uhuru mnao pewa usiongee kwenye keyboard ikifika mda na saa ww nenda kayazungumze hayo unayonena.Huyo anayeuza hiyo bandari naye ajitokeze akae mbele ili kuwazuia waandamanaji, asitumie vyombo vya dola kuzuia waandamanaji. Hayo ni maandamano ya amani kuzuia mali za watanganyika kuuzwa na Mzanzibari.
Kwa Jiwe serikali haikuwaga na maamuzi ya kipuuzi hadi watu kuandamana..wanasiasa walikuwa wanalazimisha maandamano ili wale asali kwa nguvu.Siyo kupinga bali kuwaepusha Watu na hatari
Jiwe alikuwa na maamuzi Binafsi [emoji1]
Jamaa yupo vzrAkirudi huyu mzee ni fire!
Huu ndo ujinga mnaokaririshana huko lumumba....uhuru hatupewi na serikali kama zawadi, uhuru ni haki yetu ya kikatiba tangu 1961Heshimu mamlaka ya Raisi kijana ajitokeze yeye ndo anaendamana. Au unavimba kichwa na uhuru mnao
Inapendeza sana kuona wabara wameamka kudai mali yao iliyoporwa kwa uzembe wa mtawala, licha ya jitihada za vyombo karibia vyote vya habari kutaka kulizima hili suala la bandari na ule mkataba wa kinyonyaji.
Kitendo cha polisi kuyazuia hayo maandamano kwanza wanazidi kumharibia msaliti aliyetutoa sadaka kwa wajomba, afadhali wawaache waandamanaji wapeleke ujumbe w
Mamlaka ya rais kwa hizi chaguzi za kishenzi? Kwahiyo hiyo mamlaka ni ili auze mali ya nchi bila ridhaa ya wananchi? Nyie mnaopewa mamlaka hadi mnakuwa na viburi vya madaraka, ndio maana mnaishia kuuza raslimali za nchi mkiamini mna vyombo vya dola vya kulinda wizi wenu.Heshimu mamlaka ya Raisi kijana ajitokeze yeye ndo anaendamana. Au unavimba kichwa na uhuru mnao pewa usiongee kwenye keyboard ikifika mda na saa ww nenda kayazungumze hayo unayonena.
Kwani siumepitishwa na wabunge mliowachagua wenyewe sasa mwana mimi nikushauri jambo kipindi cha jiwe ukiongea haya nishida unajitafutia ila sasa hivi Uhuru upo kwa kila Raia kutoa maoni yake.Mamlaka ya rais kwa hizi chaguzi za kishenzi? Kwahiyo hiyo mamlaka ni ili auze mali ya nchi bila ridhaa ya wananchi? Nyie mnaopewa mamlaka hadi mnakuwa na viburi vya madaraka, ndio maana mnaishia kuuza raslimali za nchi mkiamini mna vyombo vya dola vya kulinda wizi wenu.
KwahuKweli siku hazigandi. Ingelikuwa enzi za jiwe wewe ungekuwa wa kwanza kupinga maandamano.
Ndio nipo front .Vp mzee utakuwa front line [emoji1]
Ova
Kwani siumepitishwa na wabunge mliowachagua wenyewe sasa mwana mimi nikushauri jambo kipindi cha jiwe ukiongea haya nishida unajitafutia ila sasa hivi Uhuru upo kwa kila Raia kutoa maoni yake.
Unaonaje ukaunga tera ukapata link na waandishi ukazungumza hayo yaliyopo kwenye nafsi yako wausika wakusikie. Kila la heri mkuu
Sasa kwann niumie nyie kuandamana mkuu kila mtu amepewa uhuru wa kufanya kila atakacho ili mradi usivunje misingi ya kisheria ya nchi.Hao wabunge nani aliwachagua, kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Hicho kipindi cha jiwe tuliongea sana na ndio maana akaishia kupora uchaguzi maana hakuwa na uhakika wa ushindi kihivyo.
Yaliyomo nafsini kwangu nayaongea kila siku huku jukwaani, na huko kwenye maandamano ujumbe utafikishwa vizuri zaidi. Au unaumia watu wakiandamana boss?