Kenya 2022 Dkt. William Ruto: Sitaki miaka 10 ya Urais, nipeni mitano. Kazi yangu ikiwavutia niongezeni mitano tena

Kenya 2022 Dkt. William Ruto: Sitaki miaka 10 ya Urais, nipeni mitano. Kazi yangu ikiwavutia niongezeni mitano tena

Kenya 2022 General Election

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Naibu wa Rais #Kenya Dr. William Ruto amezua hisia mseto miongoni mwa wananchi baada ya kusema hatamani kudumu kwenye urais kwa kipindi cha miaka 10.

Hayo aliyasema wakati akinadi sera zake za 'Hustler Nation' yaani taifa la wapambanaji katika kaunti ya Nyeri.

"Sina haja na miaka 10 ya urais mimi. Nataka miaka 5 tu. Kazi yangu ikiwafurahisha basi mnaweza kunipa nyongeza ya miaka 5. Lakini nikifeli basi mpo huru kumchagua Rais mwingine."

Ikumbukwe Rais Uhuru Kenyatta amashatangaza hadharani kuwa atamuunga Raila Odinga kurithi kiti chake cha urais itakapofika Uchaguzi mkuu Agosti 9 mwaka huu 2022.

Uswahiba wa Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto ulichukua mwelekeo mpya wa uhasama kutokana na wamuzi wa Rais Kenyatta kujenga urafiki na mshindani wake Raila Odinga.

20220215_100954.jpg

 
Tutakuwa humu humu baada ya uchaguzi,Ruto ndiye atayekuwa kwenye Kiti, watu wamemkubali dynasties ndio hawamtaki kama vile hawakumtaka Kibaki!kwasababu atatajirisha maskini!
Huslers tuko kotekote
Ruto ndiye rais
Ata wakubwa walafi waungane aje kumvamia anameza wote!
Amebarikiwa!
 
Tutakuwa humu humu baada ya uchaguzi,Ruto ndiye atayekuwa kwenye Kiti,watu wamemkubali dynasties ndio hawamtaki kama vile hawakumtaka Kibaki!kwasababu atatajirisha maskini!
Huslers tuko kotekote
Ruto ndiye rais
Ata wakubwa walafi waungane aje kumvamia anameza wote!
Amebarikiwa!
Wakimpa baba mtadoo??
 
Word salad that means nothing

Basically by the Kenyan constitution you are elected for one 5yr term and if you supposedly do a good job the voters give you a second term.

He said alot without saying anything. don't patronize my intelligence if you want my vote
 
Naibu wa Rais #Kenya Dr. William Ruto amezua hisia mseto miongoni mwa wananchi baada ya kusema hatamani kudumu kwenye urais kwa kipindi cha miaka 10.

Hayo aliyasema wakati akinadi sera zake za 'Hustler Nation' yaani taifa la wapambanaji katika kaunti ya Nyeri.

"Sina haja na miaka 10 ya urais mimi. Nataka miaka 5 tu. Kazi yangu ikiwafurahisha basi mnaweza kunipa nyongeza ya miaka 5. Lakini nikifeli basi mpo huru kumchagua Rais mwingine."

Ikumbukwe Rais Uhuru Kenyatta amashatangaza hadharani kuwa atamuunga Raila Odinga kurithi kiti chake cha urais itakapofika Uchaguzi mkuu Agosti 9 mwaka huu 2022.

Uswahiba wa Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto ulichukua mwelekeo mpya wa uhasama kutokana na wamuzi wa Rais Kenyatta kujenga urafiki na mshindani wake Raila Odinga.

Urais sio kazi ya majaribio kwamba kila kenge lazima apewe 😁😁
 

Halafu hayo mambo ambayo mnafanya ya kuwabebesha mzigo mzito watu wazima kama baba, mnafikiri ni kitu kizuri. Badala ya kuacha aende kijijini kwake akalee wajukuu, nyie mnaanza kumzungusha nchi nzima. Hivi mbona nyie akili zenu hamzitumii vizuri??

Huyo sasa abakie kutoa ushauri kwa vijana, na si kugombania urais.
 
Halafu hayo mambo ambayo mnafanya ya kuwabebesha mzigo mzito watu wazima kama baba, mnafikiri ni kitu kizuri. Badala ya kuacha aende kijijini kwake akalee wajukuu, nyie mnaanza kumzungusha nchi nzima. Hivi mbona nyie akili zenu hamzitumii vizuri??

Huyo sasa abakie kutoa ushauri kwa vijana, na si kugombania urais.
Shughulika na ccm
 
Tutakuwa humu humu baada ya uchaguzi,Ruto ndiye atayekuwa kwenye Kiti,watu wamemkubali dynasties ndio hawamtaki kama vile hawakumtaka Kibaki!kwasababu atatajirisha maskini!
Huslers tuko kotekote
Ruto ndiye rais
Ata wakubwa walafi waungane aje kumvamia anameza wote!
Amebarikiwa!
Ngoja nikojolee huu uongo wako, kuweka alama , ntaurudia
 
Ngoja nikojolee huu uongo wako, kuweka alama , ntaurudia
kaangalie deepstate,dynasties na wezi rafiki zao, wanaumwa na Ruto mbona,kilasaa kuliko wauze sera zao wanatataja Tu Ruto ovyoovyo!
Enda uone video za Ruto uone jinsi Ruto anauza sera mpaka amekubalika kila mahali
Mimi ata sio kabila ya Ruto lakini namchukulia kama King walai,na siko pekee tuko wengi,ametufanya kitaalibani!⚡
The son of a nobody but amerise up above all the odds(King Hustler)anatetemesha kotekote!
Mpaka amefanya mtoto wa Moi,Gideon Moi,hana say,Baringo😂
Mount Kenya kama hutasimama na UDA(Hustlers party) utaanguka sakafuni pajichore pua!
👌Ruto ndiye 5th Prezo💯🔥🔥
 
Back
Top Bottom