mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Tuonane baada ya uchaguzi broo , ila nikuakikishie tukaangalie deepstate,dynasties na wezi rafiki zao, wanaumwa na Ruto mbona,kilasaa kuliko wauze sera zao wanatataja Tu Ruto ovyoovyo!
Enda uone video za Ruto uone jinsi Ruto anauza sera mpaka amekubalika kila mahali
Mimi ata sio kabila ya Ruto lakini namchukulia kama King walai,na siko pekee tuko wengi,ametufanya kitaalibani![emoji298]
The son of a nobody but amerise up above all the odds(King Hustler)anatetemesha kotekote!
Mpaka amefanya mtoto wa Moi,Gideon Moi,hana say,Baringo[emoji23]
Mount Kenya kama hutasimama na UDA(Hustlers party) utaanguka sakafuni pajichore pua!
[emoji108]Ruto ndiye 5th Prezo[emoji817][emoji91][emoji91]
Ruto hapati kitu