DM tower business Centre Moscow inaungua Majengo 4 yateketea yote

DM tower business Centre Moscow inaungua Majengo 4 yateketea yote

DM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,

Majengo pasha mengine manne yote yameteketea Kwa moto ambao chanzo chake ni hujuma kutoka ndani ya MOSCOW kutokana na vita inayoendelea sasa

Warusi wamechoka
Duh...
 
Huyu Putin ni swala la muda tuu, ajitafakari sana!

Inakuwaje mashambulizi yanaingia kwenye aridhi yake?

Interejensia ya nchi yake haifanyi kazi?

Swala ameanza kula chui!!!.??
 
Back
Top Bottom