Dmitry Medvedev: Mashambulizi ndio kwanza yanaanza

Dmitry Medvedev: Mashambulizi ndio kwanza yanaanza

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Kufuatia mashambulio makubwa ya anga kote Ukraine leo, Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev alionya "kutakuwa na mengine". Akiandika kwenye mitandao ya kijamii, mshirika wa karibu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin aliashiria kwamba kuongezeka kwa mashambulizi kunaweza kuwa mwanzo wa kuongezeka zaidi kwa vita kwa upande wa Urusi.

"Ukraine itakuwa tishio la mara kwa mara, la moja kwa moja na la wazi kwa Urusi," aliandika. "Lengo la hatua zetu za siku za usoni lazima liwe kuuvunja kabisa utawala wa kisiasa nchini Ukraine."

Mhariri wa BBC wa Urusi Steve Rosenberg anasema taarifa ya aina hii inaonyesha kwamba, ikiwa kweli huu ndio mtazamo wa Kremlin, Urusi inaweza kutaka kuendelea na vita hadi ihakikishe Ukraine nzima imerejea katika mzunguko wa Urusi.

Urusi ilituma makombora katika maeneo mbalimbali ya Ukraine siku ya Jumatatu

Mashambulizi hayo yanajiri siku mbili baada ya daraja pekee linalounganisha Urusi na Crimea inayokaliwa kimabavu na nchi hiyo kushambuliwa.

Hapo jana, Rais Vladimir Putin alilaumu idara za ujasusi za Ukraine kwa kile alichokiita kitendo cha kigaidi.

Anatarajiwa kuongoza kikao cha baraza lake la usalama leo kujadili mlipuko huo.

Maafisa wa Ukraine wanasema idadi kubwa ya watu wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora huko Zaporizhzhia usiku kucha.

Screenshot_20221011-133947_Facebook.jpg
Screenshot_20221011-133101_Facebook.jpg
 
Kumenoga. Hii kauli ingependeza zaidi aitoe Putin. Ni sahihi sana kujua nia halisi za uvamizi.

"Lengo la hatua zetu za siku za usoni lazima liwe kuuvunja kabisa utawala wa kisiasa nchini Ukraine."
 
Muda wa marekani kumpa Ukraine long range missiles umewadia ili nae awe anaichungulia Moscow
Ukraine haiwezi kupiga Moscow hata wanaompa silaha wanamwambia zele Moscow sio target maana wanajua likirushwa hata kombora moja tu kuelekea mji wowote Urusi,

kifuatacho ni US na mashoga wenziwe kupelekewa mvua ya makombora yaliyotunzwa kwaajili yao.
 
hilo ndio swali nilikuwa najiuliza, kwamba urusi inashindwa nini kupiga kila mkoa kwa wakati mmoja? kiburi cha ukrain na kusuasua kwa urusi ndio kunafanya hadi leo hii mafuta yanapanda hapa tz. maliza kazi haraka tuanze kujadili mengine.
 
Kufuatia mashambulio makubwa ya anga kote Ukraine leo, Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev alionya "kutakuwa na mengine". Akiandika kwenye mitandao ya kijamii, mshirika wa karibu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin aliashiria kwamba kuongezeka kwa mashambulizi kunaweza kuwa mwanzo wa kuongezeka zaidi kwa vita kwa upande wa Urusi.

"Ukraine itakuwa tishio la mara kwa mara, la moja kwa moja na la wazi kwa Urusi," aliandika. "Lengo la hatua zetu za siku za usoni lazima liwe kuuvunja kabisa utawala wa kisiasa nchini Ukraine."

Mhariri wa BBC wa Urusi Steve Rosenberg anasema taarifa ya aina hii inaonyesha kwamba, ikiwa kweli huu ndio mtazamo wa Kremlin, Urusi inaweza kutaka kuendelea na vita hadi ihakikishe Ukraine nzima imerejea katika mzunguko wa Urusi.

Urusi ilituma makombora katika maeneo mbalimbali ya Ukraine siku ya Jumatatu

Mashambulizi hayo yanajiri siku mbili baada ya daraja pekee linalounganisha Urusi na Crimea inayokaliwa kimabavu na nchi hiyo kushambuliwa.

Hapo jana, Rais Vladimir Putin alilaumu idara za ujasusi za Ukraine kwa kile alichokiita kitendo cha kigaidi.

Anatarajiwa kuongoza kikao cha baraza lake la usalama leo kujadili mlipuko huo.

Maafisa wa Ukraine wanasema idadi kubwa ya watu wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora huko Zaporizhzhia usiku kucha.

View attachment 2383533View attachment 2383534
hatar hii
 
Haya sasa kumekucha...USA naye kasema ni wakati sasa wa ukraine kupewa makombora ya LONG RANGE ili ijilinde kikamilifu kutokea mbali
Ipo mahali nilisema ,hakuna mjinga atakubali umlipue na mabomu kutoka mabali alafu akuangalie hakuna, inaenda kuwa piga kwangu nami nipige Kwako,

Ukirusha kombora mia mwenzako anakijibu KWa kombora 200, ngoma nzito Sana hii
 
Kumenoga. Hii kauli ingependeza zaidi aitoe Putin. Ni sahihi sana kujua nia halisi za uvamizi.

"Lengo la hatua zetu za siku za usoni lazima liwe kuuvunja kabisa utawala wa kisiasa nchini Ukraine."
Putin ameshasema jamaa anakazia tu
 
Kufuatia mashambulio makubwa ya anga kote Ukraine leo, Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev alionya "kutakuwa na mengine". Akiandika kwenye mitandao ya kijamii, mshirika wa karibu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin aliashiria kwamba kuongezeka kwa mashambulizi kunaweza kuwa mwanzo wa kuongezeka zaidi kwa vita kwa upande wa Urusi.

"Ukraine itakuwa tishio la mara kwa mara, la moja kwa moja na la wazi kwa Urusi," aliandika. "Lengo la hatua zetu za siku za usoni lazima liwe kuuvunja kabisa utawala wa kisiasa nchini Ukraine."

Mhariri wa BBC wa Urusi Steve Rosenberg anasema taarifa ya aina hii inaonyesha kwamba, ikiwa kweli huu ndio mtazamo wa Kremlin, Urusi inaweza kutaka kuendelea na vita hadi ihakikishe Ukraine nzima imerejea katika mzunguko wa Urusi.

Urusi ilituma makombora katika maeneo mbalimbali ya Ukraine siku ya Jumatatu

Mashambulizi hayo yanajiri siku mbili baada ya daraja pekee linalounganisha Urusi na Crimea inayokaliwa kimabavu na nchi hiyo kushambuliwa.

Hapo jana, Rais Vladimir Putin alilaumu idara za ujasusi za Ukraine kwa kile alichokiita kitendo cha kigaidi.

Anatarajiwa kuongoza kikao cha baraza lake la usalama leo kujadili mlipuko huo.

Maafisa wa Ukraine wanasema idadi kubwa ya watu wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora huko Zaporizhzhia usiku kucha.

View attachment 2383533View attachment 2383534
Piga hao wasiojielewa mpaka muhogo waite muwowo
 
Back
Top Bottom