DMU's (Diesel Multiple Unit) Trains for Meter Gage Railway

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Serikali ya Tanzania ifikapo 2019 itakuwa imenunua DMU trains kwa ajili ya meter gage. Zitatumika kusafirisha abiria katika jiji la Dar es salaam kwani hadi sasa abiria 5 million wanatumia usafiri wa train ndani ya jiji la Dar es salaam kwa mwaka.Hizi ni train za kisasa.
Hayo yamesemwa na Makame Mbarawa.
Hapa kazi tu ! 😀😀.

Mfano wa DMU trains

Alivyo sema Makame Mbarawa. Mwishoni mwahi video
 
Punguzeni pia magari mazee. .. Yanaongeza kuchafua hali ya hewa.. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…