DNA ni jambo la muhimu sana kwa hivisasa

DNA ni jambo la muhimu sana kwa hivisasa

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240417_110908.jpg
 
Labda baba halisi nae alikuwapo msibani, muda wa kuweka mashada wangetokea baba wawili?
Asingetakiw kumficha wote huo, Baba alikua anajinyima mtoto ale, avae plus asome then kwenye msiba anashtukizwa mtoto hakua wake Tf mkuu!
 
alikua wapi siku zote jamaa akilea... wanawake wasichojua ni kwamba hakuna atharinyoyote jamaa angezika na kujua kazika mwanae maana huyo baba halisi hata angesikia mtoto kafa kazikwa bado angekubali matokeo maana hakuwepi kwenye malezi.....
 
alikua wapi siku zote jamaa akilea... wanawake wasichojua ni kwamba hakuna atharinyoyote jamaa angezika na kujua kazika mwanae maana huyo baba halisi hata angesikia mtoto kafa kazikwa bado angekubali matokeo maana hakuwepi kwenye malezi.....
Labda baba halisi alikua ndie anatoa matunzo makubwa na yupo msibani pia ikabidi mwanamke aangalie ni yupi akimpoteza atayumba zaidi kiuchumi
 
alikua wapi siku zote jamaa akilea... wanawake wasichojua ni kwamba hakuna atharinyoyote jamaa angezika na kujua kazika mwanae maana huyo baba halisi hata angesikia mtoto kafa kazikwa bado angekubali matokeo maana hakuwepi kwenye malezi.....
Huyu alikuwa anavuta kotekote..kaangalia anayemmudu ndo kaamua kamkatilia mbali
 
Back
Top Bottom