Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda baba halisi nae alikuwapo msibani, muda wa kuweka mashada wangetokea baba wawili?At least angemwambia mwezi mmoja mbele baada ya msiba, tf kuna wanawake wana mambo ambayo hata shetani mwenyew anaogopa kuyafanya.
Asingetakiw kumficha wote huo, Baba alikua anajinyima mtoto ale, avae plus asome then kwenye msiba anashtukizwa mtoto hakua wake Tf mkuu!Labda baba halisi nae alikuwapo msibani, muda wa kuweka mashada wangetokea baba wawili?
Labda baba halisi alikua ndie anatoa matunzo makubwa na yupo msibani pia ikabidi mwanamke aangalie ni yupi akimpoteza atayumba zaidi kiuchumialikua wapi siku zote jamaa akilea... wanawake wasichojua ni kwamba hakuna atharinyoyote jamaa angezika na kujua kazika mwanae maana huyo baba halisi hata angesikia mtoto kafa kazikwa bado angekubali matokeo maana hakuwepi kwenye malezi.....
Huyu alikuwa anavuta kotekote..kaangalia anayemmudu ndo kaamua kamkatilia mbalialikua wapi siku zote jamaa akilea... wanawake wasichojua ni kwamba hakuna atharinyoyote jamaa angezika na kujua kazika mwanae maana huyo baba halisi hata angesikia mtoto kafa kazikwa bado angekubali matokeo maana hakuwepi kwenye malezi.....