Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Hili jambo haliishi kunishangaza... ni vipi madai mengi ya DNA ni ya wababa kukataa watoto na si wababa kudai watoto?
Je ni kukwepa majukumu ama kutowaamini wanawake?
au ni aibu kwa kupata mtoto kwa mzazi mwenza asiyetarajiwa?
ama ni kisasi cha ugomvi wa baba na mama bila kumjali mtoto aliyezaliwa?
inanikumbusha mzee wetu mahita ,kipimo kagoma,mtoto anavyozidi kukuwa masikio ndiyo yanazidi kurandana lakini mzee anakomaaa kukataa kisa kazaa na housegirl au?
mnaoguswa na hili hebu tusemezane ukweli upo wapi
au ndo ile kusema mama ndo ajuaye asili ya mwana baba yake malezi?
Je ni kukwepa majukumu ama kutowaamini wanawake?
au ni aibu kwa kupata mtoto kwa mzazi mwenza asiyetarajiwa?
ama ni kisasi cha ugomvi wa baba na mama bila kumjali mtoto aliyezaliwa?
inanikumbusha mzee wetu mahita ,kipimo kagoma,mtoto anavyozidi kukuwa masikio ndiyo yanazidi kurandana lakini mzee anakomaaa kukataa kisa kazaa na housegirl au?
mnaoguswa na hili hebu tusemezane ukweli upo wapi
au ndo ile kusema mama ndo ajuaye asili ya mwana baba yake malezi?