DNA za Uganda kuhamia Tanganyika?

DNA za Uganda kuhamia Tanganyika?

Haya mambo hayakuanza Leo, ndio ukitaka kuchunguza sana unaweza kukuta wewe si mtoto wa Baba yako, au babako sio mtoto wa babake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndo wahenga wanasema funika kombe mwanaharamu apite, tatizo siku hizi hatufuniki, na hata ukifunika mwanaharamu analibutua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini kufunika kikombe

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom