Do or die? Hapana, ni kill with pride!

Do or die? Hapana, ni kill with pride!

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,433
Reaction score
8,585
Bonge moja la mechi, definition halisi ya ligi ya mabingwa, ilikua njoo nije

Ukiachana na zile hadithi nzuri za Sungura na Fisi, basi tunaendelea kutengeneza hadithi nyingine tamu kwa vizazi vijavyo, ni hadithi ya SIMBA hii

Kocha Ibenge alikuja na picha ya Simba ya 4-2-3-1 ila akapewa HYBRID 4-4-2

Chama na Mugalu muda mwingi walicheza kama pair, Chama akitimiza lengo la mfumo Chotara "Hybrid" timu ikiwa inatoka nyuma anashuka kuongeza idadi ya viungo na kutengeneza 4-2-3-1 timu ikisogea anaenda karibu na Mugalu na kurudisha 4-4-2, masterclass kutoka kwa Didier Gomes, mechi aliicheza kwenye ubongo, uwanjani akamalizia kuangalia

Luis Jose Miquisson, ni kama alikuwa na hasira, Simba alipoteza nafasi nyingi za wazi, ila yeye akapata nafasi iliyo 50/50 akafunga kwa shuti la kama msg kwa wenzake "Oya tunazingua, hivi ndivyo tunatakiwa fanya" what a player, anajituma sana

Chris Mugalu, leo kila kitu kimeenda kushoto, ni kama kaangusha taulo mbele ya mama mkwe, kila alichofanya kilikataa, haikuwa siku yake na confidence ikapotea, Poor Perfomance, sio wakumbeza ni wakumpa moyo

Nadhani mtamuelewa Manara aliposema Chama hata akiwa kwenye ubora wake tu 75% basi Simba lazima ishinde, magoli aliyofunga sio marahisi, ni utulivu mkubwa, mwamba ana relax sana mpaka sio poa

Joash Onyango na Pascal Wawa, what a pair, hawa sio tu wacheze pamoja, inabidi wale pamoja pia, kwenye Bus wakae pamoja

Air Manula, sina mengi, ila mikono yako inatuma salamu, mikono yako inaziba midomo na ngebe

RB Maestro Bwalya, ni raha kumuangalia kuliko Beyonce mwenye kanga moja

Benard Morisson, nilihisi kabisa hii ni mechi yake, walipoweka mitego ulitegua, walipo jisahau uliwaadhibu, huyu jamaa anajua mpira

As Vita walikuja hawana cha kupoteza ila pia ukija kucheza hakikisha huwapi Simba uhuru wa kuona mashimo

Midfield ya As Vita walijitoa kwa kila hali, super sana, yule Zemanga Soze mtu sana, nalisave jina lake, hata muda anatoka mashabiki wa Simba walimpigia makofi

Man of the Match kwa upande wangu ni Clatous Chama, simply amaizing
 
Dah nasisimukwa na mwili.
"Sikujua Kama Urusi in nguvu namna hii",alisikika Vladimir Putin.

Nami nashangaa,"Sikujua Kama Simba ina nguvu namna hii"!
 
Bonge moja la mechi, definition halisi ya ligi ya mabingwa, ilikua njoo nije

Ukiachana na zile hadithi nzuri za Sungura na Fisi, basi tunaendelea kutengeneza hadithi nyingine tamu kwa vizazi vijavyo, ni hadithi ya SIMBA hii

Kocha Ibenge alikuja na picha ya Simba ya 4-2-3-1 ila akapewa HYBRID 4-4-2

Chama na Mugalu muda mwingi walicheza kama pair, Chama akitimiza lengo la mfumo Chotara "Hybrid" timu ikiwa inatoka nyuma anashuka kuongeza idadi ya viungo na kutengeneza 4-2-3-1 timu ikisogea anaenda karibu na Mugalu na kurudisha 4-4-2, masterclass kutoka kwa Didier Gomes, mechi aliicheza kwenye ubongo, uwanjani akamalizia kuangalia

Luis Jose Miquisson, ni kama alikuwa na hasira, Simba alipoteza nafasi nyingi za wazi, ila yeye akapata nafasi iliyo 50/50 akafunga kwa shuti la kama msg kwa wenzake "Oya tunazingua, hivi ndivyo tunatakiwa fanya" what a player, anajituma sana

Chris Mugalu, leo kila kitu kimeenda kushoto, ni kama kaangusha taulo mbele ya mama mkwe, kila alichofanya kilikataa, haikuwa siku yake na confidence ikapotea, Poor Perfomance, sio wakumbeza ni wakumpa moyo

Nadhani mtamuelewa Manara aliposema Chama hata akiwa kwenye ubora wake tu 75% basi Simba lazima ishinde, magoli aliyofunga sio marahisi, ni utulivu mkubwa, mwamba ana relax sana mpaka sio poa

Joash Onyango na Pascal Wawa, what a pair, hawa sio tu wacheze pamoja, inabidi wale pamoja pia, kwenye Bus wakae pamoja

Air Manula, sina mengi, ila mikono yako inatuma salamu, mikono yako inaziba midomo na ngebe

RB Maestro Bwalya, ni raha kumuangalia kuliko Beyonce mwenye kanga moja

Benard Morisson, nilihisi kabisa hii ni mechi yake, walipoweka mitego ulitegua, walipo jisahau uliwaadhibu, huyu jamaa anajua mpira

As Vita walikuja hawana cha kupoteza ila pia ukija kucheza hakikisha huwapi Simba uhuru wa kuona mashimo

Midfield ya As Vita walijitoa kwa kila hali, super sana, yule Zemanga Soze mtu sana, nalisave jina lake, hata muda anatoka mashabiki wa Simba walimpigia makofi

Man of the Match kwa upande wangu ni Clatous Chama, simply amaizing
Well reported, keep it up man!
 
Bonge moja la mechi, definition halisi ya ligi ya mabingwa, ilikua njoo nije

Ukiachana na zile hadithi nzuri za Sungura na Fisi, basi tunaendelea kutengeneza hadithi nyingine tamu kwa vizazi vijavyo, ni hadithi ya SIMBA hii

Kocha Ibenge alikuja na picha ya Simba ya 4-2-3-1 ila akapewa HYBRID 4-4-2

Chama na Mugalu muda mwingi walicheza kama pair, Chama akitimiza lengo la mfumo Chotara "Hybrid" timu ikiwa inatoka nyuma anashuka kuongeza idadi ya viungo na kutengeneza 4-2-3-1 timu ikisogea anaenda karibu na Mugalu na kurudisha 4-4-2, masterclass kutoka kwa Didier Gomes, mechi aliicheza kwenye ubongo, uwanjani akamalizia kuangalia

Luis Jose Miquisson, ni kama alikuwa na hasira, Simba alipoteza nafasi nyingi za wazi, ila yeye akapata nafasi iliyo 50/50 akafunga kwa shuti la kama msg kwa wenzake "Oya tunazingua, hivi ndivyo tunatakiwa fanya" what a player, anajituma sana

Chris Mugalu, leo kila kitu kimeenda kushoto, ni kama kaangusha taulo mbele ya mama mkwe, kila alichofanya kilikataa, haikuwa siku yake na confidence ikapotea, Poor Perfomance, sio wakumbeza ni wakumpa moyo

Nadhani mtamuelewa Manara aliposema Chama hata akiwa kwenye ubora wake tu 75% basi Simba lazima ishinde, magoli aliyofunga sio marahisi, ni utulivu mkubwa, mwamba ana relax sana mpaka sio poa

Joash Onyango na Pascal Wawa, what a pair, hawa sio tu wacheze pamoja, inabidi wale pamoja pia, kwenye Bus wakae pamoja

Air Manula, sina mengi, ila mikono yako inatuma salamu, mikono yako inaziba midomo na ngebe

RB Maestro Bwalya, ni raha kumuangalia kuliko Beyonce mwenye kanga moja

Benard Morisson, nilihisi kabisa hii ni mechi yake, walipoweka mitego ulitegua, walipo jisahau uliwaadhibu, huyu jamaa anajua mpira

As Vita walikuja hawana cha kupoteza ila pia ukija kucheza hakikisha huwapi Simba uhuru wa kuona mashimo

Midfield ya As Vita walijitoa kwa kila hali, super sana, yule Zemanga Soze mtu sana, nalisave jina lake, hata muda anatoka mashabiki wa Simba walimpigia makofi

Man of the Match kwa upande wangu ni Clatous Chama, simply amaizing
Matako
 
Back
Top Bottom