Do we need religion or religion needs us?

Do we need religion or religion needs us?

How then can you govern the thoughts of a human mind?
How can you control a person's true intentions?
How can you tame a man's heart?

Certainly logic and laws can not do that.

It is for that reason we need religion for morality to work.
i would argue that morality can also be derived from empathy, and we don't need religion to train empathy
 
Tell me then, what is it exactly would you need to train empathy?
parents, relatives and a society that is morally guided, through a balanced system, maybe a religion, but one that doesn't impose false ideas of gods, hell and heaven.... just good conduct
 
this is why religion is so wrong, it causes a divide, there are over 10000 religions, and everyone thinks their religion is the right path....
I'd like to not call it a division, rather a variation.

Sure, rice and chicken is delicious, but would like to eat that same dish everyday for the rest of your life? Clearly the answer is no, you need the varieties, the different flavours. To have a fulfilling life.

Religion comes in different flavours, all colouring the world. Creating a variety of cultures and traditions.
It is beautiful, it is necessary.

But just like chicken with rice, of all the different religion flavors, Islam is my favourite and it's the best.
I have points to back that up.
 
parents, relatives and a society that is morally guided, through a balanced system, maybe a religion, but one that doesn't impose false ideas of gods, hell and heaven.... just good conduct
You just said maybe a religion, it's not maybe a religion, it's absolutely a religion. A religion is necessary.

And If I were you I'd hold my horses on calling gods,hell and heaven as false Ideas.
Until the day I can falsify it. Until the day I can prove beyond doubt that they don't exist.
 
We need nothing
Ova.
Hizi lugha zinatuchanganya sana mpaka maaa halisi hazieleweki.

Kiuhalisia, Uislam siyo "religion per say.", ni "religion" kwa sababu tu neno hilo ndiyo la karibu sana kwa neno "dini". Uislam ni "way of life" ambayo kiuhalisia ilikuwa inatakiwa neno Uislam litumike kila unapotajwa Uislam na siyo neno "religion".

3_19.gif

Qur'an 3:19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19

Unaona hapo, ni maneno mawili tofauti ambayo yote yana maana zake tofauti.
 
Hizi lugha zinatuchanganya sana mpaka maaa halisi hazieleweki.

Kiuhalisia, Uislam ni siyo "religion per say.", ni "religion" kwa sababu tu neno hilo ndiyo la karibu sana kwa neno "dini". Uislam ni "way of life" ambayo kiuhalisia ilikuwa inatakiwa neno Uislam litumike kila unapotajwa Uislam na siyo neno "religion".

3_19.gif

Qur'an 3:19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19

Unaona hapo, ni maneno mawili tofauti ambayo yote yana maana zake tofauti.
Hapo dini mbele ya mwenyezi Mungu ni Uislam.
Naweza kuisoma as:
Uislam ni dini.

Mfano: Shule pekee mbele ya uso wangu ni za international.

Haimaanishi kuwa hakuna shule nje ya international au international sio shule.
ila inamaanisha international ndiyo shule pekee nayoikubali. Zipo zingine ila sizikubali.

And btw, even If we take that Quranic meaning from your words. That still does not prove that there isn't any religion outside of Islam or even that Islam is not a religion or that it is the only true religion.

All that is still a belief, it requires me to beleive.
And every religion can say the same thing about theirselves.

And Dini itself is a way of life. All religions are ways of life
 
Hakuna dini ya kishenzi duniani.
ina maana huioni? Ukiona dini fulani inapenda fujo, shari, ghasia na waumini wake wana jazba mpaka wanaua binadamu wenzao kwa imani ya dini ujue hiyo dini ni ya kishenzi na kijuha
 
Dini ipo moja tu duniani, milele haijawahi kubadilika wala kubadilishwa hata sentesi moja katika kitabu chake na wala haijawahi kubadilishwa misimamo yake. Anaetaka basi ajiunge ili apate nusura, na asietaka basi.

Hizo nyingine zinaotumia kivuli cha kujiita Dini ila sio dini, bali ni "TAASISI" ambazo hutumika kueneza propaganda za kuhalalisha wanayoyataka kwa muda uliopo ili kuendelea kuwa na nguvu sambamba na kuwa na uchumi imara.

Wanazoziita dini (Hizo Taasisi) kila miongo hubadilisha vitabu na kanuni zao kutokana na muda husika. Kwa kuhofia taasisi zao kukosa wafuasi na kuporomoka kiuchumi na nguvu.

Ref; USHOGA, miongo michache iliopita, awali, taasisi zote zinazotumia kivuli cha kujiita Dini waliukemea na kuulani vikali. Sasa umehalalishwa na kuwa halali, mpaka nyumba zinazotumika kwa kivuli cha kuziita Nyumba Za Ibada zinatumika kufungisha ndoa za jinsia moja. Kasoro dini moja tu!

Swali fikirishi;

Unaanzaje kuita kitu Nyumba ya Ibada (Sehemu watu wanakwenda kufanya ibada na kuomba msamaha kwa mungu), kufungisha ndoa za mashoga? Ushoga ni Ibada?

Maandiko katika vitabu vya dini yote yana ushahidi wa kutosha kwamba mungu aliwalaani na kuwaangamiza mashoga waliojihusisha na mahusiano ya jinsia moja huko nyuma. Soma historia ya Mtume Loot (Nabii Lut) kwa kupitia maandiko ya Kikristo na Kiislamu. Tena mungu akakemea kisawasawa swala hilo!

Ukiwa "NEUTRAL" utaelewa point yangu, ukiwa "BIASED" huwezi kuelewa point yangu!
Neutrally speaking inaonekana una bifu sana na ushoga.
Maana naona yote uliyoongelea kuhusu mada hii umeyaweka kama disguise tu, lengo lako kuu ni kuuongelea au kuukemea ushoga.
 
ina maana huioni? Ukiona dini fulani inapenda fujo, shari, ghasia na waumini wake wana jazba mpaka wanaua binadamu wenzao kwa imani ya dini ujue hiyo dini ni ya kishenzi na kijuha
Hapana.
Hata ukiona hayo yote haimaanishi hiyo dini ni ya kishenzi au kijuha.

Au nini kikufanye kutumie hayo kama uthibitisho kuwa hiyo dini ni ya kishenzi au kijuha?
 
Iweke kwa kiswahili tutiririke hapa mdau ! Umetufunga 😂😂 nimesoma nimeelewa ila kutoa maoni kwa kiingereza sipo vizuri sana nitajiuma uma hapa waje wasomi wa JF waharibu mada kwa kunikosoa !!
 
Religion is a mental slavery.

Religion is a Fictional identity.

Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.

We don't need religion, Religion is a programming system for collecting money from those who are vulnerable to the concept of God.
 
And If I were you I'd hold my horses on calling gods,hell and heaven as false Ideas.
Until the day I can falsify it. Until the day I can prove beyond doubt that they don't exist.
though i'm not sure, i seem to gravitate more towards yahweh the christian god rather than allah the muslim one, allah just seems like a myth to me.... or are they the same?? maybe you can help
 
Back
Top Bottom