daaaa usikonde zilikuepo mbili mwana mmoja ndiyo kazama Nungwi pemba hivyo nimebaki alon...urithi utakubali nikudakishe za mwana?ili tuendelee kuepo wawili katk ardh ya JAH WHWHWHMIAMIA nitafutie na mimi hizo snickers basi
Dah!! Unajua hizi wishes zingine inaweza kuwa kweli aisee Rocky hebu tafuta ufutio ufute hayo maneno kwenye bluu bana
...ahhhh yani AshaDI namuangalia kwa jicho la kukonyeza thats y nikashusha pumzi kisha ni xhale coz hizi kitu maloveeee namna tunavyoyasumbukia naona ndivyo sivyo.!
unajua maniaje Mr.Rocky?mapenzi ya watu wawili na mkapendana wawili na hili muishi wawili na mje kuzikana wawili ivi vingne vnatoka wapi?
....usijali mama kwa kukuacha njia panda lakini lengo langu ni kutaka kujaribu kukuweka attention kisha nigusie neno langu kwako... ninavyo amini mm kwamba cha msingi ni mapenzi ambayo ndiyo shina na nyumbani sijui,ndugu na jamaa,na paka wako sijui na babu na kadharika ni matawi tu hivyo kama ww unaona mwenzie ayupo kiswaga hizo try to look on ursef na jievaluate utaelewa na ones ukijua na ukarealize kama ur a magnetic thus magnetic foc is inside u utakaa msumbukia akitambuloshe wap au akupeleke wapi aoutomatkale izo show zote zitakuja tu what u av to do just concetrate to all matters that u want to happen btn u two.dont focus kwa usiyaitaji coz at tha end of the day mtasepana tu
Dah!! Unajua hizi wishes zingine inaweza kuwa kweli aisee Rocky hebu tafuta ufutio ufute hayo maneno kwenye bluu bana
Thank you
Ila nimependa umenichokoza wee mpaka ukanitoa pangoni
I have and i will be able to say what i feel and my hearts tells me that I love her and she loves me too
regards to your lovely hubby
Dah!!! Ila kila kitu kinawezekana itabidi tupokezane wakati wa kuvaa ukivaa leo mimi navaa baada ya siku mbilidaaaa usikonde zilikuepo mbili mwana mmoja ndiyo kazama Nungwi pemba hivyo nimebaki alon...urithi utakubali nikudakishe za mwana?ili tuendelee kuepo wawili katk ardh ya JAH WHWHWH
...ah mkulu ujui kama kizaz cha mjomba iki ata ukiwa na age ya buku aint a thig wat mataz ur up to date....TF mbona umri wako ushasogea saa kumi na moja hizo snickers utavalia wapi
Lol!!! Bado haujasema how do you feel LOVED by her
Lol!!!! Nikikosa it will be upon you shahidi yangu AshaDiiMkuu nafuta kauli yangu isije ikawa kweli ukanilaani bure
Labda tunachanganya,kuna gubu,ukatili,uchoyo na ufisadi..... Wivu wa kati (wastani) unaleta chachu ktk mapenzi...ukikipenda utakilinda,utakipigania,utakitunza..hutakubali kushare na wengine...Mungu wetu ana wivu tena mkali-hataki kuchanganywa...sheria zinawaweka huru waliojeruhi kwa wivu kuwa hawakukusudia...wanyama hawana wivu..mbwa hana wivu...wivu hulinda/hukuza mapenzi, ndiyoo wahenga husema wivu ukionyeshwa ni tahadhari kabla ya hatari-iweje umuachie mke atoke pekee ucku au mke akae kimya kwa mienendo siyo ya mume..afu baadaye asingiziwe shetani? Mke ni mlinzi wa mume kadhalika mume mwerevu atamchunga mkewe.. wajibu wanandoa kulinda hatima yao na watoto pia...ulinzi hausubiri tukio eboo! baada ya tukio ni kilio kama sio msiba....Aina ya wivu inategemea na tukio/wakati...wivu wa kawaida...wivu mkaliii kufumania hapa ndiyo kila mtu anatoka kivyake ktk suala zima la wivu....tulizo kama hajaua mtu basi atatafuta kamba..
Unahusika sana halafu usianze kubishaAsante ADI..poster nzuri sana..kwa wale
Wanao husika na malavii davii..
Big up sis..
...ah mkulu ujui kama kizaz cha mjomba iki ata ukiwa na age ya buku aint a thig wat mataz ur up to date....
na mitoko ipo miiiiingi sana kwa izo makitu.
Wewe sasa unatafuta umbea wakati wewe najua sio mtu wa mbeya
I feel proud, happy, yaani kama mfalme fulani na napenda the way anavyonipenda na kila mara anavyoniambia na kutenda kile ambacho mtu aliyekupenda anafanya na kutenda
Always huwa ananiambia the way anavyonipenda na anavyojisikia kuwa na mimi na alivyo proud mbele ya wengine kuhusu mimi na the way nilivyo as a husband to her
Lol we acha udaku inatosha
Lol!!!! Nikikosa it will be upon you shahidi yangu AshaDii
Nashukuru nimezipata salamu zangu lol!!!oh! Rocky... nimefurahi, once you have said it once... its easier to say it twice, Pamoja Saana.... na Salamu zimefika dear....
hahahahhahaahahahahBut i do have the guts to say I love him - if so it happens...
May be its me i miss something or my understanding is poor
Ngoja nimuulize AshaDii kama hii confession inatosha kama akisema bado itabidi uendele kudadavua mstari baada ya mstari