Do you feel LOVED?

Do you feel LOVED?

MIAMIA nitafutie na mimi hizo snickers basi
daaaa usikonde zilikuepo mbili mwana mmoja ndiyo kazama Nungwi pemba hivyo nimebaki alon...urithi utakubali nikudakishe za mwana?ili tuendelee kuepo wawili katk ardh ya JAH WHWHWH
 
...ahhhh yani AshaDI namuangalia kwa jicho la kukonyeza thats y nikashusha pumzi kisha ni xhale coz hizi kitu maloveeee namna tunavyoyasumbukia naona ndivyo sivyo.!
unajua maniaje Mr.Rocky?mapenzi ya watu wawili na mkapendana wawili na hili muishi wawili na mje kuzikana wawili ivi vingne vnatoka wapi?

Very interesting.....

....usijali mama kwa kukuacha njia panda lakini lengo langu ni kutaka kujaribu kukuweka attention kisha nigusie neno langu kwako... ninavyo amini mm kwamba cha msingi ni mapenzi ambayo ndiyo shina na nyumbani sijui,ndugu na jamaa,na paka wako sijui na babu na kadharika ni matawi tu hivyo kama ww unaona mwenzie ayupo kiswaga hizo try to look on ursef na jievaluate utaelewa na ones ukijua na ukarealize kama ur a magnetic thus magnetic foc is inside u utakaa msumbukia akitambuloshe wap au akupeleke wapi aoutomatkale izo show zote zitakuja tu what u av to do just concetrate to all matters that u want to happen btn u two.dont focus kwa usiyaitaji coz at tha end of the day mtasepana tu

Miamia.... umezungumzia cha maana saana hapo... kama hio magnetic force haipo mwanzo wa mahusiano.... Hivi unafaikir ndio hio force itakuja mbeleni?? maana mwanzoni you are brand new as a couple.... kama utaona aibu kua nae, ama hutaki kumkaribisha kwako, wala usimjali anapo uumwa utasema kua ni sawa?? Personally i don't believe hio....
 
Thank you
Ila nimependa umenichokoza wee mpaka ukanitoa pangoni
I have and i will be able to say what i feel and my hearts tells me that I love her and she loves me too
regards to your lovely hubby


oh! Rocky... nimefurahi, once you have said it once... its easier to say it twice, Pamoja Saana.... na Salamu zimefika dear....
 
daaaa usikonde zilikuepo mbili mwana mmoja ndiyo kazama Nungwi pemba hivyo nimebaki alon...urithi utakubali nikudakishe za mwana?ili tuendelee kuepo wawili katk ardh ya JAH WHWHWH
Dah!!! Ila kila kitu kinawezekana itabidi tupokezane wakati wa kuvaa ukivaa leo mimi navaa baada ya siku mbili
 
TF mbona umri wako ushasogea saa kumi na moja hizo snickers utavalia wapi
...ah mkulu ujui kama kizaz cha mjomba iki ata ukiwa na age ya buku aint a thig wat mataz ur up to date....
na mitoko ipo miiiiingi sana kwa izo makitu.
 
Lol!!! Bado haujasema how do you feel LOVED by her


Wewe sasa unatafuta umbea wakati wewe najua sio mtu wa mbeya
I feel proud, happy, yaani kama mfalme fulani na napenda the way anavyonipenda na kila mara anavyoniambia na kutenda kile ambacho mtu aliyekupenda anafanya na kutenda
Always huwa ananiambia the way anavyonipenda na anavyojisikia kuwa na mimi na alivyo proud mbele ya wengine kuhusu mimi na the way nilivyo as a husband to her
Lol we acha udaku inatosha
 
Labda tunachanganya,kuna gubu,ukatili,uchoyo na ufisadi..... Wivu wa kati (wastani) unaleta chachu ktk mapenzi...ukikipenda utakilinda,utakipigania,utakitunza..hutakubali kushare na wengine...Mungu wetu ana wivu tena mkali-hataki kuchanganywa...sheria zinawaweka huru waliojeruhi kwa wivu kuwa hawakukusudia...wanyama hawana wivu..mbwa hana wivu...wivu hulinda/hukuza mapenzi, ndiyoo wahenga husema wivu ukionyeshwa ni tahadhari kabla ya hatari-iweje umuachie mke atoke pekee ucku au mke akae kimya kwa mienendo siyo ya mume..afu baadaye asingiziwe shetani? Mke ni mlinzi wa mume kadhalika mume mwerevu atamchunga mkewe.. wajibu wanandoa kulinda hatima yao na watoto pia...ulinzi hausubiri tukio eboo! baada ya tukio ni kilio kama sio msiba....Aina ya wivu inategemea na tukio/wakati...wivu wa kawaida...wivu mkaliii kufumania hapa ndiyo kila mtu anatoka kivyake ktk suala zima la wivu....tulizo kama hajaua mtu basi atatafuta kamba..


Moria mie nakubaliana kabisa nia hii... ndio maana wale woote wanaopinga wivu I ask them... unataka mpenzi wako aku treat as if ni dada/kaka??
For haiwezekani mimi kama mke.. mume wangu aone tu sawa nizungukwe na wanaume wengine kila saa as fi niko single... inakua kweli hakupendi... but hio ni mawazo yangu....
 
...ah mkulu ujui kama kizaz cha mjomba iki ata ukiwa na age ya buku aint a thig wat mataz ur up to date....
na mitoko ipo miiiiingi sana kwa izo makitu.

Mkuuu huyo jamaa mi najua hana hata mguu wa kuvalia snichers maana viguu vyake kama chelewa vile sasa vitu kama hivyo vinahitaji kaptula na tshirt nzuri sasa jamaa atavalia wapi
 
Wewe sasa unatafuta umbea wakati wewe najua sio mtu wa mbeya
I feel proud, happy, yaani kama mfalme fulani na napenda the way anavyonipenda na kila mara anavyoniambia na kutenda kile ambacho mtu aliyekupenda anafanya na kutenda
Always huwa ananiambia the way anavyonipenda na anavyojisikia kuwa na mimi na alivyo proud mbele ya wengine kuhusu mimi na the way nilivyo as a husband to her
Lol we acha udaku inatosha

Ngoja nimuulize AshaDii kama hii confession inatosha kama akisema bado itabidi uendele kudadavua mstari baada ya mstari
 
Ngoja nimuulize AshaDii kama hii confession inatosha kama akisema bado itabidi uendele kudadavua mstari baada ya mstari

naona leo wewe unanichokosa na nina usongo sana nikushinde maana wewe najua bado sana ila unatafuta vigezo vya kuingia kwenye ndoa
 
Asante ADI..poster nzuri sana..kwa wale
Wanao husika na malavii davii..
Big up sis..


Thanks dear.... Poleni na Msiba, for nilikuona upo busy kidogo pale juu....
Alafu AD nawee pia yakuhusu bana... stop hio bana (pessimistic)
 
Back
Top Bottom