The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Ngoja nitume mtu aje kuhakikishaShe is here with me na ananote kila ninachoandika
So be happy mkuu anaona ninavyotoa ukweli wangui na kwamba simpambi
Ngoja nitume mtu aje kuhakikisha
Kwa hiyo ulimtamkia na macho makavu kwamba humtaki tena ingawa anakupenda? I'm sorry to dig up deeper and forgive me if I sound too nosy!!Mkuu it was not easy for her to accept the reality but alikubaliana na uhalisia
Ilimchukua muda sana kukubaliana na ukweli na ilinichukua muda kujiondoa maana alikuwa akija home mara kwa mara na mawasiliano yalikuwepo though sio tena yale ya kawaida ila just as friend and as time goes on she realized that she can not change the reality and she accept to loose me and i feel somehow guilty for kwa kile nilichofanya ila nilijipa matumaini it was for good
Home first then automatically kitanda atakiona tu mwenyeweMkuu fanya hivo na utaona
BTW hivi nikuulize wewe ni wale ambao " you can show your woman your bed but not your home"
It's good to dig deeper especially when it comes to Mr. Rocky just continue digging deeper and depeerKwa hiyo ulimtamkia na macho makavu kwamba humtaki tena ingawa anakupenda? I'm sorry to dig up deeper and forgive me if I sound too nosy!!
SHERRIF ARPAIO..........Do you feel LOVED???
Si ulisema you feel good pale unaponichukia.....halafu naku naniliiaga......
can i ask u a question?na kama ndiyo?je ww ni muumini ya kwamba jambo lolote hapa dunian linalomzunguka ni just a matter of choic?Very interesting.....
Miamia.... umezungumzia cha maana saana hapo... kama hio magnetic force haipo mwanzo wa mahusiano.... Hivi unafaikir ndio hio force itakuja mbeleni?? maana mwanzoni you are brand new as a couple.... kama utaona aibu kua nae, ama hutaki kumkaribisha kwako, wala usimjali anapo uumwa utasema kua ni sawa?? Personally i don't believe hio....
Kwa hiyo ulimtamkia na macho makavu kwamba humtaki tena ingawa anakupenda? I'm sorry to dig up deeper and forgive me if I sound too nosy!!
Ashadii what else dop u need from me maana nimesema kile ambacho kiko moyoni mwangu
I feel her and always i miss her when am alone au kazini au safarini na always in my thought kwamba at that time what is she doing and she always also thinking of me any time we are apart
She is proud too and happy to have me and am happy to have her in my life
Naona wivu kwa ajili yake na ni wivu wa maendeleo
We always together in time of happiness or sorrow
We are together to build up our family and care about our child and bring them up for their future
She always tells me that am a great father to my kids
We plan together and impliment whatever we plan na tunaumia tunaposhindwa kufikia malengo tuliyojiwekea
Ohhh inatosha bana
Home first then automatically kitanda atakiona tu mwenyewe
With regards to that in blue...... Yes i feel LOVEDMmmmmhhhhhh
Ntakunanilii wewe endelea kunicho......
.
Dasa em jibu swali
"Do you feel loved "???
Caution ... usiniulize mwahhh.
Jamani AD... So full of LOVE... Yet so empty of being in love.... Dah!
Hii post sasa ndo nimeshiba.... lol... Hivo i second the above.... Hapo PA aking'ang'ana ana lake jambo... nisha muona ka mchokozi vile....lol
Not that easy mazee, siyo guest house hiyo mkuuHahahahahh
Wangapi ambaop washakiona hicho kitanda and all of them unawaambia unawapenda na ukiw anae unamwambia ni wewe tuu unayekiyumia kitanda hiki
siyo dongo bana...thats my PROVERB.Hilo dongo la Rocky ama ADI?? lol
Aisee imenibidi nichekee maana inawezekana umetumia kipaza sauti kabisaI said NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO