Do you feel LOVED?

Do you feel LOVED?

Nimekupata..sidhani kama huo naweza kuita wivu.. kama ulivyosema hiyo ni proud.. level ya satisfaction..ya kuona ..huyu ni wangu..

Mimi naamini wivu ni ule ambao unafanya hadi mtu unakereka.. ni karaha.. ni extreme..na una-negative impact..

By the way, nadhani kitu ulichosema ni tukubaliane ni kama a certain level ya wivu ambayo ni nature ya mwanadamu.. ni tolerable limit.. na kama unajua hatuwezi ku-discuss nature..kwani hata wanyama wa porini at the certain limit wana wivu..Binafsi nilikuwa nalenga vile vitu ambayo ni beyond nature..

Tatizo kubwa ni kujua the reasonable limit ambayo ni nature yetu..hapo ipo kazi..


Naona kweli neno WIVU inabidi iangaliwe vizuri... I wish ningekua na Kamusi nione definition.....
 
Nimekupata..sidhani kama huo naweza kuita wivu.. kama ulivyosema hiyo ni proud.. level ya satisfaction..ya kuona ..huyu ni wangu..

Mimi naamini wivu ni ule ambao unafanya hadi mtu unakereka.. ni karaha.. ni extreme..na una-negative impact..

By the way, nadhani kitu ulichosema ni tukubaliane ni kama a certain level ya wivu ambayo ni nature ya mwanadamu.. ni tolerable limit.. na kama unajua hatuwezi ku-discuss nature..kwani hata wanyama wa porini at the certain limit wana wivu..Binafsi nilikuwa nalenga vile vitu ambayo ni beyond nature..

Tatizo kubwa ni kujua the reasonable limit ambayo ni nature yetu..hapo ipo kazi..
Tulizo mie naona bado wivu huwa inaongeza ndimu kwenye mapenzi, sina sababu saana ila naona bado wivu ni chachu kwenye mapenzi,ukimpenda sana mwenzako lazima mwisho wa siku utamuonea wivu tu
 
Tulizo mie naona bado wivu huwa inaongeza ndimu kwenye mapenzi, sina sababu saana ila naona bado wivu ni chachu kwenye mapenzi,ukimpenda sana mwenzako lazima mwisho wa siku utamuonea wivu tu


Mie naona hapa tupate definition ya WIVU ili kuelewa Kweli kua ni mzuri katika Mapenzi ama lah!

@ Any member - Tunaomba definition ya WIVU ya kamusi....
 
AshaDii namaanisha kwako kama yako hiyo do u have the guts to move out with such a man
 
The gal maana najua wewe hapo huwezi kufanya hivyo


Well that is indirectly a compliment naona...lol... On a serious note; Kupenda Rocky Moyo hauchagui waweza angukia popote pale... ila from the guy ambae tumemuelezea hapa ni kua I know nitampenda tu, kama imetokea nikampenda - after all guys wa namna hii, they are great to their ladies in alll aspects... (for at least their is a gurantee kua I am exceptional...) huku hoping there will come a day he will change... Na kama unavo jua mioyo yetu... nayo ina limitations... Kupenda can not go on forever kama utazidi nichanganywa... lazima iko siku unakata tamma kama harekebiki.... Ndio hapa R. Kelly anaingia na wimbo wake wa when a woman is fed up....
 
AshaDii namaanisha kwako kama yako hiyo do u have the guts to move out with such a man


If i know deep down that he loves me... and he is proud to show it... Na I love him.... Of Coz i have the guts to move in with him with GREAT hope kua i will do my best abadilike... katika Mapenzi ni trial and error.... Naweza nisieleweke mbele ya jamii.... but believe me you it is worth the try.... For i can not judge the Man he is for i do not know the boy he was....
 
Tulizo mie naona bado wivu huwa inaongeza ndimu kwenye mapenzi, sina sababu saana ila naona bado wivu ni chachu kwenye mapenzi,ukimpenda sana mwenzako lazima mwisho wa siku utamuonea wivu tu

Duh! Nadhaani ni kweli.. Hata nilisema..Wivu (wa kupindukia) ni outcome ya woga.. Yaani ukipenda sana ..unaogopa kukosa.. . Na ukizidi sana unaishia kutomwamini mwenzako..Yaani ni kama woga times 2..
 
If i know deep down that he loves me... and he is proud to show it... Na I love him.... Of Coz i have the guts to move in with him with GREAT hope kua i will do my best abadilike... katika Mapenzi ni trial and error.... Naweza nisieleweke mbele ya jamii.... but believe me you it is worth the try.... For i can not judge the Man he is for i do not know the boy he was....

Hapo kwenye red hapo
Utajuaje kuwa yupo in deep love with you wakati hata kukutambulisha kwa washkaji zake ni issue
Kukupeleka kwake ni issue mpaka mgombane
Kukuonyesha kwa ndugu zake ni jambo lisilowezekana kila siku anatoa sababu
Hana hata chembe ya wivu na wewe hata akikukuta unamkiss mwanaume mwingine yeye anaona poa tuu

Ndio hata yuko kwenye deep love with you ila hapo mhhh mtoe kwenye ulimwengu wa kuigiza mlete kwenye reality
 
Hapo kwenye red hapo
Utajuaje kuwa yupo in deep love with you wakati hata kukutambulisha kwa washkaji zake ni issue
Kukupeleka kwake ni issue mpaka mgombane
Kukuonyesha kwa ndugu zake ni jambo lisilowezekana kila siku anatoa sababu
Hana hata chembe ya wivu na wewe hata akikukuta unamkiss mwanaume mwingine yeye anaona poa tuu

Ndio hata yuko kwenye deep love with you ila hapo mhhh mtoe kwenye ulimwengu wa kuigiza mlete kwenye reality



Rocky it is not fair!!! Ulinitega... Mie nilijibu from this..... [" A man can show you his bed but not his home"]


From the above nilotoa.... Siwezi condone... wala kua nae... hata kama anadai ananipenda... Dah!
 
Rocky it is not fair!!! Ulinitega... Mie nilijibu from this..... [" A man can show you his bed but not his home"]


From the above nilotoa.... Siwezi condone... wala kua nae... hata kama anadai ananipenda... Dah!

mh...aseeeeeee
 
Rocky it is not fair!!! Ulinitega... Mie nilijibu from this..... [" A man can show you his bed but not his home"]


From the above nilotoa.... Siwezi condone... wala kua nae... hata kama anadai ananipenda... Dah!

Na mimi maana yangu imetoka hapo hapo " A man can show you his bed but not his home"

Anakupa kila kitu unachotaka hata viwanja vya bei mbaya anakupeleka na kama ni mshiko utapata
Ila kwake hutokaa ukujue na kila ukiuliza hilo utapewa sababu lukuki maira mdogo wangu yupo kule na sitaki nimuonyeshe kuwa nina mwanamke
Mara baba yangu kutoka kijijini kaja so ni issue kukupeleka
Mara leo najisikia zaidi kwenda lodge zaidi ya nyumbani unajua home wapangaji wengine noma na mwenye nyumba akiniona na mwanamke anaweza nifukuza nyumba mradi sababu haziishi

Sijakutega bana
 
Na mimi maana yangu imetoka hapo hapo " A man can show you his bed but not his home"

Anakupa kila kitu unachotaka hata viwanja vya bei mbaya anakupeleka na kama ni mshiko utapata
Ila kwake hutokaa ukujue na kila ukiuliza hilo utapewa sababu lukuki maira mdogo wangu yupo kule na sitaki nimuonyeshe kuwa nina mwanamke
Mara baba yangu kutoka kijijini kaja so ni issue kukupeleka
Mara leo najisikia zaidi kwenda lodge zaidi ya nyumbani unajua home wapangaji wengine noma na mwenye nyumba akiniona na mwanamke anaweza nifukuza nyumba mradi sababu haziishi

Sijakutega bana


Hivi unajua kuna tofauti ya " A man can show you his bed but not his home" hio na mwanaume huyo hapo juu??

TOFAUTI....

Wajuu hapo ni kwamba wee moja kwa moja huna maana kwake na hio statement yaweza ingia kama moja ya sifa yake.... But a guy from the above statement aweza fanya yoooote hayo (yaani call you, care for you, be responsible, take you places, akaonesha respect hivo hivo but kwake asikupeleke)

Tukirudi kangu.. kumbuka niliuliza kwana kua "the other gal" AU "THE Gal"??? Ukanijibu the later... For what i know if i am the later... he will treat me like his queen but not kama hapo juu.... thus my saying it was worth the try.....

Hivo basi akinifanyia hio in purple.... he is disqualified....
 
AshaDii nimekupata sawa sawa
Ila turudi sasa kwa huyo ambaye anaweza asifanye hayo yote na kwake asikupeleke do you have a guts to say that he loves you
 
Hivi unajua kuna tofauti ya " A man can show you his bed but not his home" hio na mwanaume huyo hapo juu??

TOFAUTI....

Wajuu hapo ni kwamba wee moja kwa moja huna maana kwake na hio statement yaweza ingia kama moja ya sifa yake.... But a guy from the above statement aweza fanya yoooote hayo (yaani call you, care for you, be responsible, take you places, akaonesha respect hivo hivo but kwake asikupeleke)

Tukirudi kangu.. kumbuka niliuliza kwana kua "the other gal" AU "THE Gal"??? Ukanijibu the later... For what i know if i am the later... he will treat me like his queen but not kama hapo juu.... thus my saying it was worth the try.....

Hivo basi akinifanyia hio in purple.... he is disqualified....

Huyu Mr. Rocky huyu
 
Back
Top Bottom