DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kuna jamaa mmoja ni mzaliwa wa huko Kusini alikuwa anasomea mambo ya udaktari ktk chuo fulani cha private hapa hapa Dar.
Kama mjuavyo hulka za vijana vyuoni, jamaa mwishoni mwishoni anamaliza akaja kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja wa mzaliwa huko Kaskazini aliyekuwa anasomea mambo ya unesi Ila kwa ngazi ya certificate.
Hawakukaa Sana,
Pale chuoni zikabandikwa ratiba na taratibu kwa wanafunzi watakaohusika Kwenda field na wale wanatakiwa kwenda internship.
Kwamba Kama una sehemu unapafahamu iwe serikalini au private na unataka Kwenda kufanyia field au internship yako pale. Basi Wasiliana na uongozi wa chuo wakupe barua rasmi ili ukatume maombi mapema.
Sasa uyo mpenz wake akamshauri jamaa kua kwakua internship ya jamaa ndo itatangulia afu field ya wanafunz wa certificate ndo itafata. Basi Kama itawezekana jamaa atume maombi yake ya intern kwa Taasisi za mkoa wa kaskazini ili iwe jiran na kwao binti ili waweze kua karibu zaidi waenjoy kipind chote Cha field na intern.
Jamaa akakubali Ila changamoto akasema Ni Hana connection wala ndugu yyt kule kaskazini.
Binti akamwambia kua kule ndo nyumbani kwao na anafahamiana madaktar na manesi wengi.
NgoJa amtafte nesi mmoja ni mzoefu Sana kazin na wanaelewana Sana amfanyie mpango wa kumuunganisha na uongozi wa pale hospitali ya dini alikofanyia field yake ya kwanza ili process zianze mapema na akituma barua yake ya maombi waipitishe moja kwa moja. Jamaa akasema Haina shida,lifanyie KAZI.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mjuavyo hulka za vijana vyuoni, jamaa mwishoni mwishoni anamaliza akaja kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja wa mzaliwa huko Kaskazini aliyekuwa anasomea mambo ya unesi Ila kwa ngazi ya certificate.
Hawakukaa Sana,
Pale chuoni zikabandikwa ratiba na taratibu kwa wanafunzi watakaohusika Kwenda field na wale wanatakiwa kwenda internship.
Kwamba Kama una sehemu unapafahamu iwe serikalini au private na unataka Kwenda kufanyia field au internship yako pale. Basi Wasiliana na uongozi wa chuo wakupe barua rasmi ili ukatume maombi mapema.
Sasa uyo mpenz wake akamshauri jamaa kua kwakua internship ya jamaa ndo itatangulia afu field ya wanafunz wa certificate ndo itafata. Basi Kama itawezekana jamaa atume maombi yake ya intern kwa Taasisi za mkoa wa kaskazini ili iwe jiran na kwao binti ili waweze kua karibu zaidi waenjoy kipind chote Cha field na intern.
Jamaa akakubali Ila changamoto akasema Ni Hana connection wala ndugu yyt kule kaskazini.
Binti akamwambia kua kule ndo nyumbani kwao na anafahamiana madaktar na manesi wengi.
NgoJa amtafte nesi mmoja ni mzoefu Sana kazin na wanaelewana Sana amfanyie mpango wa kumuunganisha na uongozi wa pale hospitali ya dini alikofanyia field yake ya kwanza ili process zianze mapema na akituma barua yake ya maombi waipitishe moja kwa moja. Jamaa akasema Haina shida,lifanyie KAZI.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app