Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

kuna binadamu nyie,huyo mwanamke ni hatari ni nyoka haswa.Na huyo ashazoea kuua wala haoni shida
Funzo wa wanaume na wanawake,usijichanganye kuingia kwenye mahusiano hivihivi kuna watu hawaachiki
Ana roho ngumu na ujasiri wa ajabu mno,
Nawaza TU mwanamke wa Hivi angepata madarakani makubwa Kama ya uraisi nchi ingekuaje[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli binti kamtafuta huyo Nesi na kamwambia anataka kurud pale pale Tena kutanya field ila pia Kuna jamaa pia anataka Kuna kufanya intern hapo.
Nesi kasema Haina shida,tuma barua zenu wote kwa Basi, Kisha yaliyobaki niachieni Mimi. Wakafurahi na kweli barua zikatumwa na majibu yajarudi kua wamekubaliwa na mda ukifika waje TU Haina shida. Ikawa imeisha hivo.

Mda ulivofika wa jamaa Kwenda intern, binti kampigia nesi kua jamaa kesho anakuja uko kwahiyo anaomba umtaftie chumba kizur Cha kupanga chenye choo ndani Kisha pesa anakuja kulipia mwnyw akifika uko.

Nesi kawaambia kua vyumba vizur kupata uku Ni changamoto, mpk uweke Oda mapema na nyie Kama jamaa kweli anakuja kesho mmechelewa hamkuniandaa mapema. Ila mwambie TU jamaa aje akifika uku tutatafuta polepole tutapata TU. Kweli binti na jamaa wakakubali.

Kesho yake kweli jamaa kasafiri,
Na kwasababu ya ugeni wa jamaa mkoa ule, Nesi akaombwa ampokee jamaa stendi na amtaftie lodge ya kulala ili kesho yake ampeleke jamaa akaripoti hospitali. Nesi akasema Haina shida.

Kweli jamaa kawasili stendi,ila usiku saa 2 kwa kuchelewa maana gar Yao ilipata shida njiani. Nesi kapigiwa Simu kamwambia usitoke hapo hapo stendi nakuja. Nesi kaja kufika saa 3.
Nesi kamuomba radhi jamaa kuchelewa alipata dharura kdg.

Jamaa kasema Haina shida Ila nilishataka nipande daladala za Kuja uko uko kwako niliskia wapiga debe wanatangaza iyo ruti Hapa stendi.

Nesi kamwambia ungejichanganya tu Kwenda kule hospital ingekula kwako.
Mimi sikai hospitali maana kule Ni nje ya mji na ungekwama tu Mana kule hamna lodge. Chakufanya ulale tu uku uku mjini nyumbani kwangu kesho ndo uende uko hospital.Jamaa akasema Haina shida.

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 97d00a804b4852f1650122fe06c161c8.mp4
    4.8 MB
Nipe mamba ya huyo nesi, nataka nimuoe. Huyo atakua hajapigwa mjegejo vizuri ndio maana anakua katili hivyo
Ntampakia mundende mwezi mzima, hakuna rangi ataacha kuona
 
Back
Top Bottom