Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

Alikula Mwingine aisee
Dah!
Mwenzio Nilisubiri mwaliko mpk basi[emoji22]
JamiiForums1645082277.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maaskari wa Tanzania wengi sio watu wazuri,ukikuta polisi na mbwa wanahitaji msaada msaidie mbwa askari ACHA afe
Rushwa na siasa vimeliharibu Sana jeshi letu
Sio Tena kwa maslahi ya raia na Mali zao,
Bali limegeuka kikundi Cha wahuni kupora haki za wanyonge na Mali zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni riwaya
Kwenye maisha halisi
Mwanaume timamu angemshona huyo nesi siku ya pili tu
Lugha za mwili huwa zinaongea mapema tu siku ya kwanza na ya pili zilitosha kabisa kuonyesha kuwa hiyo chakla iko tayari kuliwa
 
Hii ni riwaya
Kwenye maisha halisi
Mwanaume timamu angemshona huyo nesi siku ya pili tu
Lugha za mwili huwa zinaongea mapema tu siku ya kwanza na ya pili zilitosha kabisa kuonyesha kuwa hiyo chakla iko tayari kuliwa
Alimshona lakini,
Japo majuto yake mbelen Yalikua makubwa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rushwa na siasa vimeliharibu Sana jeshi letu
Sio Tena kwa maslahi ya raia na Mali zao,
Bali limegeuka kikundi Cha wahuni kupora haki za wanyonge na Mali zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnooooo vimeharibu Sana askari hawako Kwa ajili Yako,wapo Kwa maslahi Yao
Siwapendi km mpo hapa juenj tu siwapendi mbwa ninyi askari natamani siku ya kufa mkorofuke kabisaa
 
Back
Top Bottom