Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Hapa mkuuNaomba link ya ule uzi,kuhusu aLietembea na binti wa kizungu,akaforfe kifo,nimeutafuta sana sijaupata
Mimi nimesoma yote, jamaa ni mwandishi mzuri sana.Tafuta mchapishaji wa kuchapisha kitabu hiki cha riwaya ila hapa sijui kama kuna watu wenye muda wa kusoma volume zima
Uchagani huko Bhn.Sio vizur Kuutaja mkoa exactly
Maana Ni kuleta mabishano ya kikabila,
Ambayo sio mazuri humu, tutawagawa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
mtiririko wa mambo.
Maaskari wa Tanzania wengi sio watu wazuri,ukikuta polisi na mbwa wanahitaji msaada msaidie mbwa askari ACHA afeNimejifunza kua mapolisi wetu hawako kwaajili ya amani .
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app