Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

DeePond, kwa kweli hii story ni tamu sana whether it's true event or not, imenifanya nidindishe sana kisha ikanifanya niwe na hasira sana juu ya jamaa kupewa mitego ya kimapenI na kisha kuwekwa katika hali ya hatari.

Sasa kwa umahiri wako wa kiuandishi hebu tutengenezee story inayotuonyesha jamaa yupo dar kajipanga na anaenda kulipa kisasi huko arusha. Naamini unaweza. Hii itakuwa Part 2.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
DeePond, kwa kweli hii story ni tamu sana whether it's true event or not, imenifanya nidindishe sana kisha ikanifanya niwe na hasira sana juu ya jamaa kupewa mitego ya kimapenI na kisha kuwekwa katika hali ya hatari.

Sasa kwa umahiri wako wa kiuandishi hebu tutengenezee story inayotuonyesha jamaa yupo dar kajipanga na anaenda kulipa kisasi huko arusha. Naamini unaweza. Hii itakuwa Part 2.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii ni true story
Ni ya mwanajf mwenzetu
Suala la party 2 sidhan Kama litawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa siku ya 3 tangu jamaa Yuko lodge, Asbuh KESHO yake jamaa anamfata lodge mbio mbio kua kule nyumban kwao wezi wamevamia Jana Yake na kupiga risasi juu, wamfunga mtaa na mlinzi wao kauwawa kwa mapanga na wamekuja kwa wapangaji nako wamevunja milango yote wapangaji wote wametolewa nje na kusachiwa na kuporwa Simu na pesa. Kumbe Yule bodaboda aliewatonya alikua sahii. Basi wakawaza Kwenda kuliripoti polisi, ikaonekana sio POA watakua wamemchoma boda aliewamegea hiyo siri. Basi Ikabd jamaa aendelee kujificha uko uko lodge. Rafiki akarudi eneo la tukio na kumuachia jamaa hella za matumizi.

KESHO yake jamaa kafatwa lodge na kuambiwa na rafki Yake kua yule Pusha mpangaj mwenzao alikua akimsema Sana yeye kua hili tukio huenda tumepigwa na mtu wa humu humu ndani, uyu dokta alikua akiishi na mwenzake kabla ya tukio na Sasa huyo mwenzake haonekani na siku ya tukio wote tumelazwa hapa nje. jamaa haonekani. Kwaiyo wapangaj wenzie wamemshukia wanataka jamaa aende polisi aeleze alipo rafki yake na wajue siku ya tukio alikua wapi uyo dokta mwenzake.

Dah! Ikabd kwanza wampigie boda wamweleze habar zile. Boda akawaambia Kama alivosema kua pusha ndie msoma ramani, lawama Ni kwamba pusha kawapotosha wenzie.

Sasa Hapo yanatafutwa mazingira kusahihisha makosa ya pusha ili jamaa aingie kwny mtego Tena amalizwe vizuri na hata hao polisi wanaotaka kukuhoji usikute ndio hao hao waliowaazimisha majambazi bunduki, usiende. Hapa Cha kufanya Ni kupotea TU, asithubutu Kwenda kituoni watakumalizia kabisa kimya kimya. Basi Ikabd usiku huo huo jamaa atoroke asafiri kurudi dar kwa kudandia malori ya kutokea Nairobi.

Baada ya kufika dar,
Rafk yake akampigia kua presha uku Ni kubwa hivi Sasa kawekwa ndani, hiyo yote ni kwa ajili yake, kwaiyo asirud uku ila aende TU akaripoti vituo vya polisi huku dar ili asipate matatizo na hiLi suala lijulikane kwa wakubwa wasije kumdhuru na yeye.

Kweli jamaa kaenda kujisalimisha Centro, kamtafuta askali anayemuamini na kumuelezea kila kitu. Afande akataka kumjua uyo boda, jamaa akasita kumtaja. Basi afande akasema atalifuatilia suala lake afu atamjuza kafikia wapi.

Baada ya MDA jamaa akasema Kama imeshindikana alipeleke mbele maana rafiki yake anasota ndani na ushahidi wote uko wazi khs zile njama. yule afande akamwambia jamaa asiwe na shaka,kila kitu Kiko sawa, kule kaskazini rafk Yake hatopata shida na ataachiwa kesho kutwa Ila na yeye asihangaike Sana Kwenda ngazi za juu. Amwachie yeye atalimaliza tu.

Basi kweli baada ya siku 2 rafki Yake jamaa akaachiwa na ile kesi ikawa imefutwa. Afande akamletea taarifa kua Cha kufanya atafute kazi huku dar, asirud Tena kule mkoani maana huenda maadui zake wakawa wanamuwinda Zaid. Jamaa akauliza maadui zake Ni wapi. afande akasema tuachane nayo,hayo Ni maoni yake TU kwa faida yake. Akiamua kuyafata ayafuate,akiona hayafai ayaache afanye anachokiona ni sahii. Bas jamaa akauchukua ushaur wa afande na hajurudi Tena mkoani Hadi leo.

KATAFUTA KAZI PENGINE na kwasasa kaajiliwa Taasisi Moja maalum ya kutibu magonjwa ya organ flani ya mwili.Kaoa ana watoto wawili na anaishi maisha mengine tofauti kabisa Ila anasema ilimchukua zaidi ya mwaka mzima kuishi na kutembea kwa amani kila sehem anapokua hapa dar kwa hofu ya kuwindwa au kuuwawa na huyo aliyekua MKE wake wa zamani uyo nesi.

######Mwisho######

My take:
Kuna la kujifunza hapa,
Hiii ni true story nmesimuliwa na mwanajf mwenzetu mkongwe humu MMU siku ya xmass tulipoonana live, akanambia baada ya kuisoma ile story ya yule mwanamke aliyewaua pole pole mume wake,mjamzito na mtoto kwa sumu kidg kdg. Naye Kashawishika, na ya kwake pia iletwe humu.

Aliomba nimsaidie kuweka vizur ktk maandishi,sio mwandishi mzuri ili wadau wake MMU na jf kiujumla wapate kuisoma na kujifunza. Nashkuru Mungu niliahidi ntatekeleza na leo nmemtimizia Hilo[emoji1431]

Kama Kuna kitu nmesahau ktk story yake atanikumbusha mwnyw kupitia comments (Kama atapenda Wana jf wamjue) au kwny pm (Kama hapendi kujulikana).

Kwa heshima na tahadhima,
NAWASILISHA WAKUU [emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina ikumbusha series za matukio ya kweli [BEHIND THE MANSION WALLS]

Kwa hakika huyo mwanamke ALIMUUA PIA MUMEWE WA AWALI ukikumbuka Naye alikufa kwa KISUKARI the same illness kama iliyomuua binti wa watu na ujauzito wake.....

HIYO ILITAKIWA APATIKANE INVESTIGAVE JOURNALIST iwe Documented na IRUSHWE KWENYE MITANDAO ikiwa detailed......

Bado kuna WINGU ZITO SANA LA RUSHWA kwenye VYOMBO vyetu vya ULINZI NA USALAMA.... kinachosikitisha siyo chombo kimoja kinachoshutumiwa LAKINI NI BEYOND THAT....

Nakumbuka STORY nyingine iliyotupiwa humu JF kuhusu kesi Flan HUKO WILAYA MOJA YA MKOA WA MARA na VYOMBO vinavyotuhumiwa...... inasikitisha sana wale wanaolipwa kwa kodi zetu wanageka [baadhi] MAJAMBAZI NA MAHARAMIA ambayo wapo kwa ajili ya wale wataojaza POCHI ZAO.....😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

TUNAELELEA WAPI KAMA NCHI???? VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA JAMANI TEKELEZENI VIAPO VYENU......


Leo Mchana kweupe na hadhari unaweza kutolewa sadaka na watu wakafunika biashara ikaishia hapo....


SO SAD.........
 
Ina ikumbusha series za matukio ya kweli [BEHIND THE MANSION WALLS]

Kwa hakika huyo mwanamke ALIMUUA PIA MUMEWE WA AWALI ukikumbuka Naye alikufa kwa KISUKARI the same illness kama iliyomuua binti wa watu na ujauzito wake.....

HIYO ILITAKIWA APATIKANE INVESTIGAVE JOURNALIST iwe Documented na IRUSHWE KWENYE MITANDAO ikiwa detailed......

Bado kuna WINGU ZITO SANA LA RUSHWA kwenye VYOMBO vyetu vya ULINZI NA USALAMA.... kinachosikitisha siyo chombo kimoja kinachoshutumiwa LAKINI NI BEYOND THAT....

Nakumbuka STORY nyingine iliyotupiwa humu JF kuhusu kesi Flan HUKO WILAYA MOJA YA MKOA WA MARA na VYOMBO vinavyotuhumiwa...... inasikitisha sana wale wanaolipwa kwa kodi zetu wanageka [baadhi] MAJAMBAZI NA MAHARAMIA ambayo wapo kwa ajili ya wale wataojaza POCHI ZAO.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

TUNAELELEA WAPI KAMA NCHI???? VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA JAMANI TEKELEZENI VIAPO VYENU......


Leo Mchana kweupe na hadhari unaweza kutolewa sadaka na watu wakafunika biashara ikaishia hapo....


SO SAD.........
Sahii kabisa,
Vyombo vyetu Unaweza jikuta badala ya kukulinda vinakuteketeza,kuishi kwa machale ni muhimu Sana Zama hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa siku ya 3 tangu jamaa Yuko lodge, Asbuh KESHO yake jamaa anamfata lodge mbio mbio kua kule nyumban kwao wezi wamevamia Jana Yake na kupiga risasi juu, wamfunga mtaa na mlinzi wao kauwawa kwa mapanga na wamekuja kwa wapangaji nako wamevunja milango yote wapangaji wote wametolewa nje na kusachiwa na kuporwa Simu na pesa. Kumbe Yule bodaboda aliewatonya alikua sahii. Basi wakawaza Kwenda kuliripoti polisi, ikaonekana sio POA watakua wamemchoma boda aliewamegea hiyo siri. Basi Ikabd jamaa aendelee kujificha uko uko lodge. Rafiki akarudi eneo la tukio na kumuachia jamaa hella za matumizi.

KESHO yake jamaa kafatwa lodge na kuambiwa na rafki Yake kua yule Pusha mpangaj mwenzao alikua akimsema Sana yeye kua hili tukio huenda tumepigwa na mtu wa humu humu ndani, uyu dokta alikua akiishi na mwenzake kabla ya tukio na Sasa huyo mwenzake haonekani na siku ya tukio wote tumelazwa hapa nje. jamaa haonekani. Kwaiyo wapangaj wenzie wamemshukia wanataka jamaa aende polisi aeleze alipo rafki yake na wajue siku ya tukio alikua wapi uyo dokta mwenzake.

Dah! Ikabd kwanza wampigie boda wamweleze habar zile. Boda akawaambia Kama alivosema kua pusha ndie msoma ramani, lawama Ni kwamba pusha kawapotosha wenzie.

Sasa Hapo yanatafutwa mazingira kusahihisha makosa ya pusha ili jamaa aingie kwny mtego Tena amalizwe vizuri na hata hao polisi wanaotaka kukuhoji usikute ndio hao hao waliowaazimisha majambazi bunduki, usiende. Hapa Cha kufanya Ni kupotea TU, asithubutu Kwenda kituoni watakumalizia kabisa kimya kimya. Basi Ikabd usiku huo huo jamaa atoroke asafiri kurudi dar kwa kudandia malori ya kutokea Nairobi.

Baada ya kufika dar,
Rafk yake akampigia kua presha uku Ni kubwa hivi Sasa kawekwa ndani, hiyo yote ni kwa ajili yake, kwaiyo asirud uku ila aende TU akaripoti vituo vya polisi huku dar ili asipate matatizo na hiLi suala lijulikane kwa wakubwa wasije kumdhuru na yeye.

Kweli jamaa kaenda kujisalimisha Centro, kamtafuta askali anayemuamini na kumuelezea kila kitu. Afande akataka kumjua uyo boda, jamaa akasita kumtaja. Basi afande akasema atalifuatilia suala lake afu atamjuza kafikia wapi.

Baada ya MDA jamaa akasema Kama imeshindikana alipeleke mbele maana rafiki yake anasota ndani na ushahidi wote uko wazi khs zile njama. yule afande akamwambia jamaa asiwe na shaka,kila kitu Kiko sawa, kule kaskazini rafk Yake hatopata shida na ataachiwa kesho kutwa Ila na yeye asihangaike Sana Kwenda ngazi za juu. Amwachie yeye atalimaliza tu.

Basi kweli baada ya siku 2 rafki Yake jamaa akaachiwa na ile kesi ikawa imefutwa. Afande akamletea taarifa kua Cha kufanya atafute kazi huku dar, asirud Tena kule mkoani maana huenda maadui zake wakawa wanamuwinda Zaid. Jamaa akauliza maadui zake Ni wapi. afande akasema tuachane nayo,hayo Ni maoni yake TU kwa faida yake. Akiamua kuyafata ayafuate,akiona hayafai ayaache afanye anachokiona ni sahii. Bas jamaa akauchukua ushaur wa afande na hajurudi Tena mkoani Hadi leo.

KATAFUTA KAZI PENGINE na kwasasa kaajiliwa Taasisi Moja maalum ya kutibu magonjwa ya organ flani ya mwili.Kaoa ana watoto wawili na anaishi maisha mengine tofauti kabisa Ila anasema ilimchukua zaidi ya mwaka mzima kuishi na kutembea kwa amani kila sehem anapokua hapa dar kwa hofu ya kuwindwa au kuuwawa na huyo aliyekua MKE wake wa zamani uyo nesi.

######Mwisho######

My take:
Kuna la kujifunza hapa,
Hiii ni true story nmesimuliwa na mwanajf mwenzetu mkongwe humu MMU siku ya xmass tulipoonana live, akanambia baada ya kuisoma ile story ya yule mwanamke aliyewaua pole pole mume wake,mjamzito na mtoto kwa sumu kidg kdg. Naye Kashawishika, na ya kwake pia iletwe humu.

Aliomba nimsaidie kuweka vizur ktk maandishi,sio mwandishi mzuri ili wadau wake MMU na jf kiujumla wapate kuisoma na kujifunza. Nashkuru Mungu niliahidi ntatekeleza na leo nmemtimizia Hilo[emoji1431]

Kama Kuna kitu nmesahau ktk story yake atanikumbusha mwnyw kupitia comments (Kama atapenda Wana jf wamjue) au kwny pm (Kama hapendi kujulikana).

Kwa heshima na tahadhima,
NAWASILISHA WAKUU [emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
Story nzuri kweli.

My take:
1.Kwa tabia za huyo nesi, kuna uwezekano hata hicho "kisukari" kilichomuua mume wake wa kwanza ni kisukari feki, ukute pia alihusika kumuua kwa hizo insulin.
2.Kwa tabia za nesi pia, sio rahisi kwamba alizianza kipindi yuko na huyo jamaa tuu, kuna uwezekano mkubwa kuwa alikua na tabia hizo za ubabe, wivu uliopitiliza na uzandiki hata kwa mume wake wa kwanza. Je, inakuaje rafiki wa huyo jamaa ambae nae alikua anafanya kazi hospitali hapo hapo anapofanyia kazi nesi hakujua hili na kama angejua means angemuonya jamaa yake since day 1 amekuja kumuomba ushauri kuhusu 'mitego' ya nesi, angemwambia usijaribu na hama hapo upesi sana..! Ni ngumu kuwa hizo tabia za huyo nesi kwamba ni mpya na hazikwepo kwenye ndoa yake ya kwanza.
3.Hili ni swali: Je, huyo nesi ni "Mpalestina" kwa kabila?
Asante sana kwa story nzuri.
 
Tunaendelea kuwakumbusha wanaume na vijana wa kiume "Mahusiano ya kimapenzi na single mothers hayafai" au mahusiano na mume au mke ambaye tayari amezaa na mwingine kisha wakatengana hayafai. Mwenye akili na aelewe!
 
Back
Top Bottom