Doctor Masharubu wa times FM ni muongo sana

Doctor Masharubu wa times FM ni muongo sana

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219
Screenshot_20240304-205746_Instagram.jpg
Huyu Doctor Masharubu kwa Times FM watu wanaomjua

Wanasema ukoo wao ulimtenga kwa uongo

Doctor masharubu ni mzee wa kamba sana
 
Anafuatiliwa na wajinga wenzie.
Nipoteze muda wangu kusikiliza ujinga wa mtu kama huyo.
Haiwezekani aisee))
 
Hivi huyu ni daktari kweli au ndiyo
Wakina mandonga type babalevel dotto magari
Watu wameingilia taaluma ya afya.

Ova
 
Back
Top Bottom