Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wamesoma political science and sijui kitu gani, wamepata mikazi ya kupiga jaramba tu na wanalipwa kama vichaa. Sokoni mwa ajira unajiuza na kujipangia bei. Ukiwa agressive and thinking out of the box, hata usome blah blah gani unakuwa na nafasi kubwa tu.
Kama unaweza kudare kumuambia mtu unanihitaji kwa sababu zifuatazo, utazipata.
Wote wana nafasi sawa ya ajira kwa kuwa ni wachache.Habarini wanajanvi, ni yupi mwenye nafasi kubwa ya ajira na mwenye pesa nzuri? Kati ya hao
Wote wana nafasi sawa ya ajira kwa kuwa ni wachache.
Kama umeuliza hivi kwa lengo la kuchagua kozi ya kusoma, BVM ni ngumu kuliko MD.
MNh embu funguka flesh kwanza mbona kama ujasomeka vile.....maana na mimi ningependa faham iyo kitu aisee
degree ya Pharmacy ni ngumu.kumbe eeh... vp phamacist mkuu yani kwa ugumu na mshiko inakua vp embu funguka kwanza........
degree ya Pharmacy ni ngumu.
Inahitaji uwezo mkubwa wa kukariri na ku-recall.
Ni ngumu kuliko MD.
ila inalipa zaidi kuliko MD unapoanza kazi.
Kama focus yako ni ajira you are already f^%#d up!
Veterinary Med ndio ina nafasi kubwa zaidi ya ajira.
Ushauri wangu kwako ni kwamba achana na kufikiria ajira, fikiria KIPATO. Ukiikiria kipato unakuwa more creative na more productive kuliko kufikiria ajira.
Hata kwenye kipato bado vet med inalipa zaidi. Cha msingi uwe na passion ya kuvumilia harufu ya mavi ya mifugo na damu za machinjioni.
Ingekuwa Ulaya ungekuwa daktari wa mbwa, ila Bongo mbwa na paka hawapelekwi hospitali!
i do take my cat Tom to the vet everynow and then!! And i do wish we had more professionals in the field cause it gets a bit tricky sometimes 2 get a good doc nearby.
Kama focus yako ni ajira you are already f^%#d up!
Veterinary Med ndio ina nafasi kubwa zaidi ya ajira.
Ushauri wangu kwako ni kwamba achana na kufikiria ajira, fikiria KIPATO. Ukiikiria kipato unakuwa more creative na more productive kuliko kufikiria ajira.
Hata kwenye kipato bado vet med inalipa zaidi. Cha msingi uwe na passion ya kuvumilia harufu ya mavi ya mifugo na damu za machinjioni.
Ingekuwa Ulaya ungekuwa daktari wa mbwa, ila Bongo mbwa na paka hawapelekwi hospitali!
degree ya Pharmacy ni ngumu.
Inahitaji uwezo mkubwa wa kukariri na ku-recall.
Ni ngumu kuliko MD.
ila inalipa zaidi kuliko MD unapoanza kazi.
kumbe eeh... vp phamacist mkuu yani kwa ugumu na mshiko inakua vp embu funguka kwanza........
dogo hizo MD au pharmacy usijaribu kugusa MUHAS. nenda hivyo vyuo vingine ukale bata then mtaani mnakuwa sawa. i hate muhas mpaka basi.