Mama ana zaidi ya 45% kwasabb hauwi, hateki, hapori, hafilisi Wala hatukani watu hovyo kama yule jini jiwe mtoa roho
Hahahaha nasikia mwezi wa kwanza na yule wa mbinguni wamejipatia dolali laki moja kila mmoja kwa kusamehe kodi. Hahaha, sisi hatumpingi kabisa Mama ila hao viwavi jeshi kwenye timu yake ndiyo wanamharibia sana kiasi kwamba utendaji wa Mama ni -45%Mama ana zaidi ya 45% kwasabb hauwi, hateki, hapori, hafilisi Wala hatukani watu hovyo kama yule jini jiwe mtoa roho
Yaani kabisa, kuna mijitu isiyokuwa na akili imekalili eti kuua mara kufilisiwa, yaani hii mijitu natamani ijue ukweli nchi inavyoibiwa kwa sasa ili ifunguke akiliMbona ww haukufilisiwa? It's because unafanya mambo ya halali