Doctor yeyote humu naomba ushauri katika hili...

Kwan mechi zote ulizocheza unauhakika zlikuwa nisalama? au unao unatafuta sababu yakuupata tofauti nazinaa
 
Nenda hospitali haraka zipo njia za kuepusha maambukizi ndani ya muda fulani, muda unaopoteza humu ni muhimu mno ungeutumia kwa wataalamu.
 
Wahi hospital within 72 hours ukapewe kinga ya ngoma
 

Hahahaaaaa,si aseme tu kala dege lisiloliwa?????
 
Mbn van dame hujawahi mdoubt,sanasana huwa unaongeza popcorn
 
Kwa stori hiyo kitu cha kwanza ni kufika kituo cha huduma upate ushauri then upime HIV.Kama utakuwa negative then utapata huduma ya PEP Post Exposure Prophlyaxis ila huduma inatolewa ndani ya saa 72 toka ulipopata tukio la kugusana na huyo damu.

Na kama majibu ya HIV ni positive basi huduma ya PEP hautapewa ila utapewa ushauri kuhusu dawa za ARVs na chakula
 
Nawashukuru wote mlionishauri vyema ktk situation mbaya iliyonipata jana,nimeenda leo kwa doctor ameniambia kwa7bu bado nipo ndani ya masaa72 atanianzishia dawa kaniambia nizitumie ndani ya 28days.pia kupitia hili nimejifunza mengi niliyokuwa siyajui pamoja na kufahamu hali yangu kiafya kwa ujumla.Mungu awabariki sana.
 
wabongo bwana mmeambiwa afanyaje ili kuweza kuepuka maambukizi nyie mnamlaumu kwa kuokoa mwizi.
 
Ni vizuri uende kufanya check up na upewe ushauri wa kitaalamu katika sehemu za kutolea huduma za afya
 
Kilichotakiwa ni kufanya vipimo vya HIV,yaani alitakiwa huyo mwizi wako apime kama ana VVU.Kama ataonekana positive HIV wewe unatakiwa upate dawa za kujikinga( post exposure prophylaxis) hizo zinatolewa ndani ya masaa 72.Nakushauri nenda hospital kitengo cha care and treatment( CTC) ukapate ushauri kabla masaa 72 hayajapita.
 
Ni vizuri uende kufanya check up na upewe ushauri wa kitaalamu katika sehemu za kutolea huduma za afya
Asante wakuu,nimeenda na huduma hizo zote nimeshazipata.
 
Yaan unamaanisha uoga wako ni sawa useme na uende kona baa upige malaya kavu,..tehethetehteh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…