ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
pole sana kaka siku hizi hakuna madokta tanzania si ndio hawa wamejaa kibao hapa jf . wagonjwa kutibu watu hadi wabembelezwe . na huko kutoa siri za wagonjwa ni kawaida yao si unawasikia hapa kila siku , mara ooh kibonde ana ngoma , mara mkewe hanyonyeshi , mara ooh tunampatia dawa za arv. kifupi ni kuwa wale madokta wenyewe as doktaz walishaondoka tanzania wapo nje wanakula maisha . haya yaliyobaki ni makapi tu ya madokta hawana lolote. kazi yao ni kulewa , kuzungumzia siasa, kufuatilia mishahara ya wabunge na safari za kikwete . kutongoza wagonjwa , mwishowe story zikiisha ni kutoa siri za wagonjwa. NDIO MAANA VIONGOZI WOTE HAWATIBIWI HOSPITAL ZA BONGO . HATA MADOKTA WENYEWE WANAJUA NA NDIO MAANA MWENZAO ULIMBOKA WALIMPELEKA SOUTH AFRICA .
Hapa umegeneralize na kwenda kwenye extremes...