Doctors Naomba msaada wenu please

zefa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
440
Reaction score
300
Mke wangu alipatwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi na madaktari wamemwambia huenda mume wako ana tatizo la low sperm court je unaweza kuwa biological reason?
 
That is not true, hakuna uhusiano wa mimba kutunga nje na low sperm count.
Mke wangu alipatwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi na madaktari wamemwambia huenda mume wako ana tatizo la low sperm court je unaweza kuwa biological reason?
 
ahahahahahhaha achana na majibu ya humu unaweza chizika
Majibu yote unakubaliana nayo mkuu ukiwa na shida unachambua mazuri unachukua mabaya unaweka kado
 
sitaki kuamini kama ni doctor kweli alisema hivyo, hata kama alikuwa na usingizi au hangover
 
Kazinguaa huyooo..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hayo ni matatzo ya uzazi ya mkeo wewe haikuhusu kabisaaa! Itakuwa anataka sababu amlee wife wako
 
Kazinguaa huyooo..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hayo ni matatzo ya uzazi ya mkeo wewe haikuhusu kabisaaa! Itakuwa anataka sababu amlee wife wako
Ahsante mkuu
 
Mke wangu alipatwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi na madaktari wamemwambia huenda mume wako ana tatizo la low sperm court je unaweza kuwa biological reason?
Hilo ni tatizo la mkeo mirija itakuwa imeziba kwa maana diameter ndogo, au ana uvimbe kwenye mji wa uzazi, tafuta gynecology mwingine aangaliwe kwa ultra sound
 
Hilo ni tatizo la mkeo mirija itakuwa imeziba kwa maana diameter ndogo, au ana uvimbe kwenye mji wa uzazi, tafuta gynecology mwingine aangaliwe kwa ultra sound
Ulichosema ni kweli mkuu maana alifanyiwa upasuaji mbili wa uvimbe na huo wa mimba nje ya kizazi kutolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…